Boogman
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 2,525
- 5,751
Alikuwa hajampata kama felixKila ktu amemzdi jamaa sasa ulikua unafanya nn mda wote
yaaas ndio hiloUnatumia jina gn kule usipojipanga?
Leo usiku nitakuwa la chazMmh icwe la Chaz lkn km ni kidimbwini nami nikuje pliz!
Ngachidima echa efoo maa!Leo usiku nitakuwa la chaz
NonginjaaNgachidima echa efoo maa!
May b another day!Nonginjaa
Karibu sanaMay b another day!
Wanasema nimedata sina hata lakusema mbele yako... wanasema nimedata ooooooh...
sogea karibu acha yako mapozi njoo karibu nami ewe unipe dose aaaah... unipe dose sina mwengine zaidi yako ewe rose... Baby gal you my night rose aaaah you my night rose....
kanyimbo kazuri haka kaliimbwa na mad ice😀
sasa ikawaje sasa..?
Sidhani kama uko sahihi... Huyu binti anatuletea story sasa kwann aifupishe wakati inatakiwa airefushe... Ai expound .. Iwe ndefu na izidi kunoga.HEADLINE:
nifanyeje nimsahau.
STORY INSIDE:
haiendani kabisa na headline hapo juu, then hujui kusummarize habari yako.
Habari yako ni ndefu afu haijaisha.
Mtu hawezi kukushauri kwa hii habari ulioyoandika sana sana ataenjoy kusoma stori yako, madam next time angalia madhari na uandishi wako, hii stori umeonesha majivuno, mapenzi, matukio,usaliti wa mapenzi,
Summarizes stori yako iwe simple, smart but yenye kueleweka, then iwe kiushauri na sio hadithi.....
We ni me au ke..?Nimedata nimedata nawe,,
Anataka kumsahau MTU.nataka kujua anataka kusahahu nini?
Ngoja nione kama ni kweliAnataka kumsahau MTU.
Utaniita. Story ikinigoNgoja nione kama ni kweli
Haya usikae mbaliUtaniita. Story ikinigo