Eversmilin Gal
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 778
- 269
wapendwa naomba mnisaidie mwanangu amebabuka ngozi upande mmoja kuanzia kwenye shavu kuelekea mdomo ulipo yani ana rangi mbili wengine wanasema mtu akiwa hivyo ana upungufu wa kitu fulani au ana minyoo sa nashindwa kuelewa kwa kweli dawa ya minyoo nimempa na bado tatizo halijaisha naombeni msaada wa hili