Nifanyaje ili tarehe 28 ifike haraka?

Nifanyaje ili tarehe 28 ifike haraka?

Busu la Kenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2025
Posts
2,331
Reaction score
4,239
Hakuna siku kama ya Leo muda unaenda taratibu kama konokono.

Yani kesho tu inachukua karne kufika.

Mwamba britanicca katuahidi atasimamisha taifa kwa kutuletea habari Kali na nyeti.

Yani tunavyopenda umbea hatuwezi subiri.

Hapa nilipo najilazimisha kulala ili masaa yaende faster lakini waapii.

Naombeni msaada nifanyeje ili kesho ifike haraka?

Kweli nimeamini umbea ni uraibu.
 
Hakuna siku kama ya Leo muda unaenda taratibu kama konokono.

Yani kesho tu inachukua karne kufika.

Mwamba britanicca katuahidi atasimamisha taifa kwa kutuletea habari Kali na nyeti.

Yani tunavyopenda umbea hatuwezi subiri.

Hapa nilipo najilazimisha kulala ili masaa yaende faster lakini waapii.

Naombeni msaada nifanyeje ili kesho ifike haraka?

Kweli nimeamini umbea ni uraibu.
Mi nililala tangu asubuhi ila nimeamka saiv ndio saa tisa..
 
Hakuna siku kama ya Leo muda unaenda taratibu kama konokono.

Yani kesho tu inachukua karne kufika.

Mwamba britanicca katuahidi atasimamisha taifa kwa kutuletea habari Kali na nyeti.

Yani tunavyopenda umbea hatuwezi subiri.

Hapa nilipo najilazimisha kulala ili masaa yaende faster lakini waapii.

Naombeni msaada nifanyeje ili kesho ifike haraka?

Kweli nimeamini umbea ni uraibu.
Una hormonal
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom