lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,481
Utakubaliana na mimi kuwa Tanzania ilikua ina viwanda makini,na kama vingeendelezwa na kuwadhibiti viongozi wake waliokua wanaviendesha vibaya leo hii nchi yetu ingekua mbali kiuchumi na ingekua ni nchi ya viwanda? pengine ingekua kuikaribia south afrika?unakubaliana na mimi kuwa sera ya ubinafsishaji ilifanyika hovyo?
Kama ingefanyika vizuri leo hii tungekua hatukopi hata senti tano nje? sasa niambie viwanda vyetu viko wapi je unajua kuwa tulikua na kiwanda cha kutengeneza BISKELI zilizoitwa SWALA.Na hivi viko wapi? TAMCO kuunganisha SCANIA,General tyre kutengeneza magurudumu,Urafiki,Mwatex,Sungura tex,Mutex,Kilitex hivi vilitengeneza nguo,kiko wapi kiwanda cha kutengeneza majembe cha ubungo,Matsushita kilitengeneza radio,Tanganyika Parkers kilisindiks nyama za kopo,TIPER kilisafisha mafuta ghafi,Tz railways corporatiion na AIR TZ Corporatio hivi vilisaidia sana usafirishaji sio viwanda,Iko wapi Valmet.
Viko wapi wapi viwanda vyetu vya kutengeneza juice,tangold,liko wapi shirika la TZ Elimu suupplies,viko wapi viwanda vya sabuni za Gardenia,Lumi,Lux au hizi zilitoka nje?Unajua kiwanda cha chuma MANG'ULA,Viko wapi viwanda vya kuprocess pamba,tumbaku,chai,kahawa,katani na sukari?kiko wapi kwanda cha viatu Morogoro shoes na BORA,hivi ni vichache tu ndg zangu.
Je tangu zama hizo tusingekua tumeongeza vingine? Mwadui na Tancut almasi bado vyetu?nikumbusheni jamini bado vipo? na vingine vya siri na visivyo vya siri nimevisahau.tukumbushane tupate uchungu na nchi yetu.hii gesi haya madini tungeweza kuchimba wenyewe tu.unakikumbuka kiwanda cha mbolea Tanga TFC na kiwanda cha kutengeneza filamu ( sinema) TZ FILIM CORPORATION,hiki kisingewafaa akina Marehemu Kanumba,RAY,JB,na wengineo?Viwanda vingi China ni mali ya umma na sasa China ni world second largest economy.
Tukumbuke.
Kama ingefanyika vizuri leo hii tungekua hatukopi hata senti tano nje? sasa niambie viwanda vyetu viko wapi je unajua kuwa tulikua na kiwanda cha kutengeneza BISKELI zilizoitwa SWALA.Na hivi viko wapi? TAMCO kuunganisha SCANIA,General tyre kutengeneza magurudumu,Urafiki,Mwatex,Sungura tex,Mutex,Kilitex hivi vilitengeneza nguo,kiko wapi kiwanda cha kutengeneza majembe cha ubungo,Matsushita kilitengeneza radio,Tanganyika Parkers kilisindiks nyama za kopo,TIPER kilisafisha mafuta ghafi,Tz railways corporatiion na AIR TZ Corporatio hivi vilisaidia sana usafirishaji sio viwanda,Iko wapi Valmet.
Viko wapi wapi viwanda vyetu vya kutengeneza juice,tangold,liko wapi shirika la TZ Elimu suupplies,viko wapi viwanda vya sabuni za Gardenia,Lumi,Lux au hizi zilitoka nje?Unajua kiwanda cha chuma MANG'ULA,Viko wapi viwanda vya kuprocess pamba,tumbaku,chai,kahawa,katani na sukari?kiko wapi kwanda cha viatu Morogoro shoes na BORA,hivi ni vichache tu ndg zangu.
Je tangu zama hizo tusingekua tumeongeza vingine? Mwadui na Tancut almasi bado vyetu?nikumbusheni jamini bado vipo? na vingine vya siri na visivyo vya siri nimevisahau.tukumbushane tupate uchungu na nchi yetu.hii gesi haya madini tungeweza kuchimba wenyewe tu.unakikumbuka kiwanda cha mbolea Tanga TFC na kiwanda cha kutengeneza filamu ( sinema) TZ FILIM CORPORATION,hiki kisingewafaa akina Marehemu Kanumba,RAY,JB,na wengineo?Viwanda vingi China ni mali ya umma na sasa China ni world second largest economy.
Tukumbuke.