lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,481
- Thread starter
- #21
soma historia ya ulaya na marekani, historia ya nchi zote zilizoendelea utaona kuna watu wengi saana walikufa kwenye production kwa niaba ya vizazi vyao vipya,,, je ni mtanzania gani ameshakufa kwa ajili ya maendeleo ya nchi hii? (namaanisha kwenye production kwa ajili ya nchi) jibu utaona hakuna, Kwa hiyo utaona kuna stage tumeiruka ambayo bado inatutafuna,,,
INABIDI TUPATE KIONGOZI WA JAMI
HITTLER ATUTAWALE KAMA MIAKA 20 ILI TUFE SANA KWENYE KAZI, BAADA YA HAPO KIZAZI KIJACHO 2098 na kuendelea KITAKUWA SI KIZAZI CHA WATU LEGELEGE,DHAIFU NA WAZEMBE KAMA HIKI.
EEEEH MUNGU IBARIKI JAMII YA WATANZANIA WAZALENDO NA SHUPAVU. TUONDOLEE WANAFIKI, WABINAFSI,WEZI, WATU LEGELEGE, NA WALE WOOOTE WANAOJIPENDEKEZA NA KUSHABIKIA WANAUME WENZAO ILI WAO WALE..
mungu akubariki na wewe kwa kuyaona ambayo wengi wameshindwa kuyaona. watu wanasema hawapigi kura kwa chama au mtu asiotoa chochote,ubarikiwe sana mkuu.