Nifahamishe Wapi live band siku za kawaida hasa alihamisi?

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,555
8,552
Wanabodi ninamgeni wangu anataka kwenda mziki lakini live band je siku za kawaida kwa hapa Dar niwapi pazuri kunapigwa mziki wa live kama ya kina kingkiki nakadharika?Nijulisheni tafadhali.
 
Wanabodi ninamgeni wangu anataka kwenda mziki lakini live band je siku za kawaida kwa hapa Dar niwapi pazuri kunapigwa mziki wa live kama ya kina kingkiki nakadharika?Nijulisheni tafadhali.

Mafuta house 4th floor, savana lounge. Au mbalamwezi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom