Niende s/Africa au Mauritius?

Niende s/Africa au Mauritius?

Amicus Curiae

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2012
Posts
5,352
Reaction score
7,662
Eid Mubarak watu Wa Mungu!

Naombeni ushauri, nimetamani kusafiri kwenda nchi yoyote ya Africa kutembea na kujifunza fursa za uwekezaji na ajira ktk nchi hizo, nimejipendekezea kwenda s/Africa au Mauritius...kwa wenye uenyeji na nchi hizo naomba tujuzane ABC's

Na kama kuna mtanzania anayeishi huko kwa sasa naomba tuwasiliane tafadhali

Karibuni..
 
Eid Mubarak watu Wa Mungu!

Naombeni ushauri, nimetamani kusafiri kwenda nchi yoyote ya Africa kutembea na kujifunza fursa za uwekezaji na ajira ktk nchi hizo, nimejipendekezea kwenda s/Africa au Mauritius...kwa wenye uenyeji na nchi hizo naomba tujuzane ABC's

Na kama kuna mtanzania anayeishi huko kwa sasa naomba tuwasiliane tafadhali

Karibuni..

Unategemea kwenda lini.......?......tunaweza tukakutana ujue........
 
Nenda Mauritius, South Africa watakulynch ingawa fursa za biashara ni interesting. Mauritius haiko explored sana kibiashara na wabongo kwa jinsi navyofahamu, Nakushauri uanzie huko.
 
Nenda Mauritius, South Africa watakulynch ingawa fursa za biashara ni interesting. Mauritius haiko explored sana kibiashara na wabongo kwa jinsi navyofahamu, Nakushauri uanzie huko.
 
Nakushauri uende mauritius huku sauzi sio kwanza kuna ubaguzi wa hali ya juu af sio salama sana bora uende Mauritius mzee
 
Eid Mubarak watu Wa Mungu!

Naombeni ushauri, nimetamani kusafiri kwenda nchi yoyote ya Africa kutembea na kujifunza fursa za uwekezaji na ajira ktk nchi hizo, nimejipendekezea kwenda s/Africa au Mauritius...kwa wenye uenyeji na nchi hizo naomba tujuzane ABC's

Na kama kuna mtanzania anayeishi huko kwa sasa naomba tuwasiliane tafadhali

Karibuni..

S.a sehem gan?.sipo uko kwa sasa.ila naweza kukusaidia namba za baazi ya wtz waliopo uko.kama cape town na musina/mesina hi kama utapitia border ya beitbridge.

Njoo pm nitakusaidia
 
Nenda Mauritius, South Africa watakulynch ingawa fursa za biashara ni interesting. Mauritius haiko explored sana kibiashara na wabongo kwa jinsi navyofahamu, Nakushauri uanzie huko.

Mkuu nimekusoma, nakushukuru sana kwa ushauri mzuri
 
S.a sehem gan?.sipo uko kwa sasa.ila naweza kukusaidia namba za baazi ya wtz waliopo uko.kama cape town na musina/mesina hi kama utapitia border ya beitbridge.

Njoo pm nitakusaidia

Utaniunganisha na hao wa cape town mkuu, nakuja PM
 
Back
Top Bottom