Niende PCM au PCB ?

Nenda PCB,,,, Dogo,,,,, yan magoli uko,,,,,pcm nenda kama una ndugu yako wa kukuunhanisha,, vngonevyo utasota,,,,,, au kama una ndoto ya ualim poa, ndo upge pcm coz iyo comb ualim ndo fasta
 
Nenda PCB,,,, Dogo,,,,, yan magoli uko,,,,,pcm nenda kama una ndugu yako wa kukuunhanisha,, vngonevyo utasota,,,,,, au kama una ndoto ya ualim poa, ndo upge pcm coz iyo comb ualim ndo fasta
Mkuu hata hujasoma post za wadau? Huyu unayemshaur unapoteza muda wako. Soma post za wadau
 
Ukisoma PCB hutoweza kusoma Engineering and the like. Ukisoma PCM, hutoweza kujiunga Medicine. So deep down in your heart, fikiria unachotaka kuja kufanya huko mbele ya safari. Za kuambiwa changanya na za kwako. Usifuate mkumbo wa watu wengi.
 
Uaisome hizo hela wakupe ufanyie biashara kwa muda wa miaka miwili utakua umepiga hatua,na ile miaka mitatu,minne,na mitano chuo ukikazana kwenye biashara utakua tajiri hata utakaomaliza nao hawatakupata
 
kama hesabu unajua kasome PCM hamna kukariri sna may be Chemistry kidogo ila utadeal na namba tu sana sana masomo yote itakusaodia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…