Niende na kondom au hela?

Niende na kondom au hela?

moto2012

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2012
Posts
2,303
Reaction score
1,530
Wadau samahani, najua leo ni siku ya kazi! Nimeangukiwa sijui niseme na bahati ya mtende au balaa!Saa 10 usiku wa leo mrembo mmoja ambaye nimemsotea zaidi ya miaka 3, kanitumia sms kwa WhatsApp just hi, nkaanza kuchat nae, nikampleka peleka peleka amenipa apointment ya saa 4 Asubuhi hii kwenye kigrosari flani hapa Town.

Mdada ni mtata flani, kwa kuwa ghafla nimeshindwa kumwambia kuwa nataka kumla, ila chating yetu ilikuwa inaelekea huko.

Utata ni kipi nikipe kipaumbele, hela au kondom? Au vyote? Kisema ukweli mimi ni bahili, nikienda na hela nikahonga na kama sikumla nitakuwa nimepata hasara, na nisipokuwa na hela akikubali nitamlaje manake miaka 3 si haba sijui analiwa na nani?
 
loh, hii nchi kweli ina vichwa? mwenetu hauna kazi? au wewe mwanafunzi hauna cha kufanya glossary saa4 unaenda kula supu unabeba na kondomu? na huyo mwanamke naye hana kazi au?..kua uyaone!:der::der:

tanzania bila ukimwi........
 
Weka picha tuone aliyekusumbua miaka 3, Ila kati ya madomo zege we unaongoza ndio maana ata leo ujui unaenda kufanya nn!
 
Jiandae kwenda kulipa kodi ya chumba... 60,000 x 6 = 360,000/=. Utalipia soft drinks na baadae lunch mtakayokula (roughly 30,000). Ukitema huo mkwanja wa kodi leo leo, na ukawa mjanja baadae mtaenda kugwegwedana... sh minimum 30,000 chumba, ndom 2,500, (hatataka salama wala dume za 200), lakini pia utamlipia bajaji ya kurudi kwa at least 5,000.

Andaa laki nne na nusu ikiwa ni pamoja na tahadhari (anaweza kuwa na rafiki yake wakati wa lunch)... Siku njema buzi...
 
Usiende na hela wala kondomu...

Kwa kuwa unataka kumla basi nenda na sahani, uma, kijiko...halafu usisahau na chachandu kunogesha mlo wako.
Duuh! Ushauri huu. Sahani, uma na vijiko tavikuta huko huko
 
Jiandae kwenda kulipa kodi ya chumba... 60,000 x 6 = 360,000/=. Utalipia soft drinks na baadae lunch mtakayokula (roughly 30,000). Ukitema huo mkwanja wa kodi leo leo, na ukawa mjanja baadae mtaenda kugwegwedana... sh minimum 30,000 chumba, ndom 2,500, (hatataka salama wala dume za 200), lakini pia utamlipia bajaji ya kurudi kwa at least 5,000.

Andaa laki nne na nusu ikiwa ni pamoja na tahadhari (anaweza kuwa na rafiki yake wakati wa lunch)... Siku njema buzi...

Kama ndo hivi naghairi. Nashukuru kwa kunitonya mapema
 
Mkuu is this you? Hakuna kitu Wanawake hawapendi kama papara...watu wengi wanakosa mambo kwa papara..ungekuwa mjanja ikifika time mpigie mwambie siku ingine...but Najua Huwezi
 
Weka picha tuone aliyekusumbua miaka 3, Ila kati ya madomo zege we unaongoza ndio maana ata leo ujui unaenda kufanya nn!
Kweli eenhe naweza kuwa domo zege. Ila ujue haraka haraka haina baraka
 
Mkuu is this you? Hakuna kitu Wanawake hawapendi kama papara...watu wengi wanakosa mambo kwa papara..ungekuwa mjanja ikifika time mpigie mwambie siku ingine...but Najua Huwezi
I swear naweza I will let you know
 
Jiandae kwenda kulipa kodi ya chumba... 60,000 x 6 = 360,000/=. Utalipia soft drinks na baadae lunch mtakayokula (roughly 30,000). Ukitema huo mkwanja wa kodi leo leo, na ukawa mjanja baadae mtaenda kugwegwedana... sh minimum 30,000 chumba, ndom 2,500, (hatataka salama wala dume za 200), lakini pia utamlipia bajaji ya kurudi kwa at least 5,000.

Andaa laki nne na nusu ikiwa ni pamoja na tahadhari (anaweza kuwa na rafiki yake wakati wa lunch)... Siku njema buzi...

Gharama zote hizi alafu mshaingia lodge anakwambia yupo kwenye period
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom