dah!! kumbe huwa tunaongea kihisipania bila kujuwa...lakini maana hiyo bado iko mbali na maana ya mtaani tunayotumiaTIGO ni neno la kispania lenye maana ya YOU yani wewe
Nahutumika pale mtu analosema CON TIGO akimaanisha WITH YOU.
CON=WITH.
Either "Kwa sababu yakubadil makampun zaid" au....
Kwa sababu ni mtandao ambao tangu miaka ya '07 umekuwa ukitumiwa na wanafunzi sana hasa wale wa ngazi za juu wenye sifa za kupendelea uwakala huo(tafsida).[/QUOTE
ila chanzo chake nini kwa hao wanafunzi?
aisee asante sana kwa maelezo hayo nimeelewa sasa....kumbe limekuja kwa kuaksi matagazo yao ya kuvaa wigi na madira.....safi sana...sababu kubwa ya neno TIGO kama jina la kampuni kutumika vibaya kilichangiwa na hoja kubwa kwamba mabosi wake wengi wanatabia za kishoga na wengine ni mashoga! sio utani na ndio maana hata matangazo yao yale ya Joti ukiyazingatia vyema utakuta ushoga ushoga! na hii nitangu enzi zile ilipokuwa ikiitwa mobitel! wanaokumbuka vyema wataungama kwamba hata mademu walikuwa wakiitwa kimobiteli yaani dem mwembamba!
ila kwa sie tuliosoma Kihispania TIGO maana yake ni kama vile wewe ingawa itaeleweka "wewe" pale inapotumika kama CON TIGO! yaani pamoja na wewe!
Ndio ila endapo litakubalika katika matumizi ya kila siku....sema kwa ninavyofahamu hilo neno wengi hawalipendi mapokezi yake si kama ilivyo kwenye neno la kiingereza nilipendalo. f*ck Yani hilo neno kokote pale linarhyme! mmarekani akikosa neno lazima atumie hilo neno. Iwe ni kwenye furaha, karaha au hisisa yoyote ile.k
kama ni hivyo basi linaweza kutoholewa na kuingizwa kwenye kamusi.litumike rasmi??
ngoja watu waliboreshe tu nalo litapata kibaliNdio ila endapo litakubalika katika matumizi ya kila siku....sema kwa ninavyofahamu hilo neno wengi hawalipendi mapokezi yake si kama ilivyo kwenye neno la kiingereza nilipendalo. f*ck Yani hilo neno kokote pale linarhyme! mmarekani akikosa neno lazima atumie hilo neno. Iwe ni kwenye furaha, karaha au hi isa yoyote ile.
tumejibiwa tayari...Naungana na wewe ndugu hata mimi huumiza akili chanzo cha mtandao huu wa mawasiliano kuhusiswa na tabia ya kinyume na maumbile. Siku moja tunasafiri na timu ya mpira kijijini kwetu jamaa mmoja akaomba mwenye laini ya vodacom amsaidie kuongea na ndugu yake (yeye alikuwa na airtel), jamaa mmoja akadakia........mimi nina tigo!! Watu wote kwenye fuso wakageuka kumwangalia huyo mwenye tigo
Angalia logo ya tigo herufi o inawakilisha hilo tunduNaungana na wewe ndugu hata mimi huumiza akili chanzo cha mtandao huu wa mawasiliano kuhusiswa na tabia ya kinyume na maumbile. Siku moja tunasafiri na timu ya mpira kijijini kwetu jamaa mmoja akaomba mwenye laini ya vodacom amsaidie kuongea na ndugu yake (yeye alikuwa na airtel), jamaa mmoja akadakia........mimi nina tigo!! Watu wote kwenye fuso wakageuka kumwangalia huyo mwenye tigo
kaulimbiu yao ya 'inakupa zaidi' ndiyo iliyoleta hilo jina,dem akikupa hilo 'tundu' anakua kakupa zaidi ya wengine,lilianza 2006 au 07za kazi jamani, kuna hili neno ambalo watu wengi tunatumia kama tafsida ya maana kuingiliwa kinyume na maaumbile. TIGO.au 0713.. nafahamu tangu mwanzo kuwa kuna mtandao wa simu ambao asili yake ilitoka kuanzia mobitel hadi tigo.
lakini kwa sasa neno tigo linatumika kwa maana nyigine na linazidi kuwa maarufu sana na huku tendo hilo lilishaanza kabla hata ya simu kuja Tanzania. sasa nauliza kwa wanao fahamu kwa nini waliamua kutumia jina la mtandao na kabla ya mtandao kulikuwa na neno gani?