Nieleweshe asili ya neno tigo?

lup

JF-Expert Member
Apr 23, 2015
2,514
2,732
za kazi jamani, kuna hili neno ambalo watu wengi tunatumia kama tafsida ya maana kuingiliwa kinyume na maaumbile. TIGO.au 0713.. nafahamu tangu mwanzo kuwa kuna mtandao wa simu ambao asili yake ilitoka kuanzia mobitel hadi tigo.
lakini kwa sasa neno tigo linatumika kwa maana nyigine na linazidi kuwa maarufu sana na huku tendo hilo lilishaanza kabla hata ya simu kuja Tanzania. sasa nauliza kwa wanao fahamu kwa nini waliamua kutumia jina la mtandao na kabla ya mtandao kulikuwa na neno gani?
 
za kazi jamani, kuna hili neno ambalo watu wengi tunatumia kama tafsida ya maana kuingiliwa kinyume na maaumbile. TIGO.au 0713.. nafahamu tangu mwanzo kuwa kuna mtandao wa simu ambao asili yake ilitoka kuanzia mobitel hadi tigo.
lakini kwa sasa neno tigo linatumika kwa maana nyigine na linazidi kuwa maarufu sana na huku tendo hilo lilishaanza kabla hata ya simu kuja Tanzania. sasa nauliza kwa wanao fahamu kwa nini waliamua kutumia jina la mtandao na kabla ya mtandao kulikuwa na neno gani?
Naungana na wewe ndugu hata mimi huumiza akili chanzo cha mtandao huu wa mawasiliano kuhusiswa na tabia ya kinyume na maumbile. Siku moja tunasafiri na timu ya mpira kijijini kwetu jamaa mmoja akaomba mwenye laini ya vodacom amsaidie kuongea na ndugu yake (yeye alikuwa na airtel), jamaa mmoja akadakia........mimi nina tigo!! Watu wote kwenye fuso wakageuka kumwangalia huyo mwenye tigo
 
Naungana na wewe ndugu hata mimi huumiza akili chanzo cha mtandao huu wa mawasiliano kuhusiswa na tabia ya kinyume na maumbile. Siku moja tunasafiri na timu ya mpira kijijini kwetu jamaa mmoja akaomba mwenye laini ya vodacom amsaidie kuongea na ndugu yake (yeye alikuwa na airtel), jamaa mmoja akadakia........mimi nina tigo!! Watu wote kwenye fuso wakageuka kumwangalia huyo mwenye tigo
ni kama vile kitu rahisi hivi lakini huwa kinachaganya ila naona hapa magreat thinker watatusaidia... na sasa umeboreswa na kuiya linda...labda litafunikwa lakini huwa najiuliza kama tigo wakibadilisha jina je na sisi waitaji tutabadilisha kuwafata...???
 
za kazi jamani, kuna hili neno ambalo watu wengi tunatumia kama tafsida ya maana kuingiliwa kinyume na maaumbile. TIGO.au 0713.. nafahamu tangu mwanzo kuwa kuna mtandao wa simu ambao asili yake ilitoka kuanzia mobitel hadi tigo.
lakini kwa sasa neno tigo linatumika kwa maana nyigine na linazidi kuwa maarufu sana na huku tendo hilo lilishaanza kabla hata ya simu kuja Tanzania. sasa nauliza kwa wanao fahamu kwa nini waliamua kutumia jina la mtandao na kabla ya mtandao kulikuwa na neno gani?
ngoja watalamu wa lugha waje
 
ni kama vile kitu rahisi hivi lakini huwa kinachaganya ila naona hapa magreat thinker watatusaidia... na sasa umeboreswa na kuiya linda...labda litafunikwa lakini huwa najiuliza kama tigo wakibadilisha jina je na sisi waitaji tutabadilisha kuwafata...???
Pia huwa muda mwingine najiuliza hivi vijana wa mataifa jirani wana akili za kipuuzi kama zetu za kukaa na kubuni maneno yasiyo na faida kama haya: Tigo, Kufumua linda, jicho na sasa huku ninakoishi akipita mwanamke ana makalio makubwa utasikia, cheki Akudo hiyo.......
 
Pia huwa muda mwingine najiuliza hivi vijana wa mataifa jirani wana akili za kipuuzi kama zetu za kukaa na kubuni maneno yasiyo na faida kama haya: Tigo, Kufumua linda, jicho na sasa huku ninakoishi akipita mwanamke ana makalio makubwa utasikia, cheki Akudo hiyo.......

sijajua sana...lakini mob psychology ya vijana wengu duniani ni ile ile tu na maneno ya tafsifa huwa yapo kila lugha....ila kwa nini kampuni...wakati kama mtu hajayailiwa utasikia wanatumia neno la lawaifa huyo jamaa ana mkono wa sweta....
 
tigo kama mtandao wa sim ni mtandao ambao umeanza kipindi cha nyuma san yan nimtandao wa kwanza Tz ambao ulianzishwa mwaka 1994 ni mali ya kampuni kubwa duniani ya Milicom, so hapa kuna vitu viwili ambavyo vinawafanya vijana watafsiri neno tgo kama kufanya tendo la ndoa knyume na maumbile, 1) ni kwavile ulikuwa mtandao wa kipindi cha nyuma sana so hili neno{NYUMA) ndo limetumika apo, 2) na hiki ndo kikubwa kilichofanya watu watafsiri ivo, ni ile NEMBO ya mtandao wa tgo ukiiangalia vizuri utaona kuna kitu kama bracket flan ilozunguka herufi ya mwisho yan tig(o), so hyo bracket yenye sifuli katikati ina mwonekano ka KIKUNYIO.
 
Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo ilikujq na tabia y kuajiri wanawake wenye makalio makubwa sana (fanya uchunguzi zaidi).
Hii ilipelekea kupata umaarufu sana hadi ikabidi wowowo ziitwe tigo na kufikia mkundu (anus) kuitwa tiGo pia.
 
Lugha kama sanaa zingine zina sifa za kuzaliwa na kufa. Hata vijineno kera kama hivi vitaisha tuu, ila maneno haya ni kero na ukakasi masikioni mwa mstaarabu. Utoto tuu huu ulioletwa na .com
 
za kazi jamani, kuna hili neno ambalo watu wengi tunatumia kama tafsida ya maana kuingiliwa kinyume na maaumbile. TIGO.au 0713.. nafahamu tangu mwanzo kuwa kuna mtandao wa simu ambao asili yake ilitoka kuanzia mobitel hadi tigo.
lakini kwa sasa neno tigo linatumika kwa maana nyigine na linazidi kuwa maarufu sana na huku tendo hilo lilishaanza kabla hata ya simu kuja Tanzania. sasa nauliza kwa wanao fahamu kwa nini waliamua kutumia jina la mtandao na kabla ya mtandao kulikuwa na neno gani?
sababu kubwa ya neno TIGO kama jina la kampuni kutumika vibaya kilichangiwa na hoja kubwa kwamba mabosi wake wengi wanatabia za kishoga na wengine ni mashoga! sio utani na ndio maana hata matangazo yao yale ya Joti ukiyazingatia vyema utakuta ushoga ushoga! na hii nitangu enzi zile ilipokuwa ikiitwa mobitel! wanaokumbuka vyema wataungama kwamba hata mademu walikuwa wakiitwa kimobiteli yaani dem mwembamba!
ila kwa sie tuliosoma Kihispania TIGO maana yake ni kama vile wewe ingawa itaeleweka "wewe" pale inapotumika kama CON TIGO! yaani pamoja na wewe!
 
  • Thanks
Reactions: lup
Kwa sabab yakubadil makampun zaid
Either "Kwa sababu yakubadil makampun zaid" au....
Kwa sababu ni mtandao ambao tangu miaka ya '07 umekuwa ukitumiwa na wanafunzi sana hasa wale wa ngazi za juu wenye sifa za kupendelea uwakala huo(tafsida).
 
  • Thanks
Reactions: lup
Lugha kama sanaa zingine zina sifa za kuzaliwa na kufa. Hata vijineno kera kama hivi vitaisha tuu, ila maneno haya ni kero na ukakasi masikioni mwa mstaarabu. Utoto tuu huu ulioletwa na .com
KERO kweli kama unaongea na watu alafu unaanticipate watafikiria nini lazima uyayushe maneno.
 
  • Thanks
Reactions: lup
tigo kama mtandao wa sim ni mtandao ambao umeanza kipindi cha nyuma san yan nimtandao wa kwanza Tz ambao ulianzishwa mwaka 1994 ni mali ya kampuni kubwa duniani ya Milicom, so hapa kuna vitu viwili ambavyo vinawafanya vijana watafsiri neno tgo kama kufanya tendo la ndoa knyume na maumbile, 1) ni kwavile ulikuwa mtandao wa kipindi cha nyuma sana so hili neno{NYUMA) ndo limetumika apo, 2) na hiki ndo kikubwa kilichofanya watu watafsiri ivo, ni ile NEMBO ya mtandao wa tgo ukiiangalia vizuri utaona kuna kitu kama bracket flan ilozunguka herufi ya mwisho yan tig(o), so hyo bracket yenye sifuli katikati ina mwonekano ka KIKUNYIO.
Te te teer
 
  • Thanks
Reactions: lup

Similar Discussions

Back
Top Bottom