Nidhamu ya uoga, unafiki na kujipendekeza ndivyo haswa vinamtesa Hamphrey Polepole kisaikolojia na moyoni akiwa mafichoni

Nidhamu ya uoga, unafiki na kujipendekeza ndivyo haswa vinamtesa Hamphrey Polepole kisaikolojia na moyoni akiwa mafichoni

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
36,155
Reaction score
30,836
Ni wazi polepole alikua na nafasi nzuri mno ya kushauri anachosema sasa ambacho kwa wengi kinaonekana kama ni unafiki mtupu. Ni afadhalli angeshauri wakati akiwa na nafasi halafu ushauri wake ukataliwe kwa vielelezo angalau leo hii angelionekana mtu wa maana kiasi.

Hivi sasa,
historia ina muhukumu kwa fedheha tena mbele ya umma huku akiwa mafichoni pekeyake bila msaada. Maisha matamu ndani ya V8 yalimpumbaza na kuendekeza unafiki wa kuona kila kitu kiko sawa wakati akiwa na nafasi, hali ya kua hawa wanainchi anaojaribu kuwashawishi wamuelewe leo, walikua wakipiga mayowe kutwa kucha juu ya mambo mballimbali ambayo polepole aliona hayakua tatizo kwasasababu hakutaka kuwaudhi waliompatia nafasi ile.

Mateso ya kisaikolojia na upweke anayoyapitia polepole ni fundisho kwa wanafiki wengine wenye tabia za nidhamu za uoga kama huyo msukule. Huenda anaelekea kuchanganyikiwa akiwa huko huko mafichoni.

Kama taifa,
Twendeni kwenye uchaguzi mkuu wa kihistoria kwa amani, tukaamue mustakabali mwema wa Taifa letu Tanzania bila kuyumbishwa na waliopoteza uelekeo kisiasa kama polepole. Na hakuna haja hata kidogo ya kubabaika na msamaha wa shetani ambae anataka kubadili jina na kua ibilisi, huko ni kujidanganya kinafiki tu.

Mwalimu J.K.Nyerere aliwahi kusema, ukishazoe kula nyama ya mtu, kamwe huwezi kuache. Hamphrey Polepole hawezi kuacha nidhamu ya uoga, kujipendekeza kwa wakubwa anaowapenda na unafiki hata kama ataomba msamaha wa damu na moto 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 

Attachments

  • IMG-20250822-WA0000.jpg
    IMG-20250822-WA0000.jpg
    49.2 KB · Views: 15
Ni wazi polepole alikua na nafasi nzuri mno ya kushauri anachosema sasa ambacho kwa wengi kinaonekana kama ni unafiki mtupu. Ni afadhalli angeshauri wakati akiwa na nafasi halafu ushauri wake ukataliwe kwa vielelezo angalau leo hii angelionekana mtu wa maana kiasi.

Hivi sasa,
historia ina muhukumu kwa fedheha tena mbele ya umma huku akiwa mafichoni pekeyake bila msaada. Maisha matamu ndani ya V8 yalimpumbaza na kuendekeza unafiki wa kuona kila kitu kiko sawa wakati akiwa na nafasi, hali ya kua hawa wanainchi anaojaribu kuwashawishi wamuelewe leo, walikua wakipiga mayowe kutwa kucha juu ya mambo mballimbali ambayo polepole aliona hayakua tatizo kwasasababu hakutaka kuwaudhi waliompatia nafasi ile.

Mateso ya kisaikolojia na upweke anayoyapitia polepole ni fundisho kwa wanafiki wengine wenye tabia za nidhamu za uoga kama huyo msukule. Huenda anaelekea kuchanganyikiwa akiwa huko huko mafichoni.

Kama taifa,
Twendeni kwenye uchaguzi mkuu wa kihistoria kwa amani, tukaamue mustakabali mwema wa Taifa letu Tanzania bila kuyumbishwa na waliopoteza uelekeo kisiasa kama polepole. Na hakuna haja hata kidogo ya kubabaika na msamaha wa shetani ambae anataka kua kubadili jina na kua ibilisi, huko ni kujidanganya kinafiki tu.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Unafiki na kujipendekeza ni ugonjwa unaokusumbua sana wewe na wenzio...!!
 
TAARIFA WALIONUNUA CHAMA CHETU NI BAHRESSA,GSM,ROSTAM, KIKWETE,HABINDTHA SETCH,PAMOJA NA WAMBURAAAAAA
 
Ni wazi polepole alikua na nafasi nzuri mno ya kushauri anachosema sasa ambacho kwa wengi kinaonekana kama ni unafiki mtupu. Ni afadhalli angeshauri wakati akiwa na nafasi halafu ushauri wake ukataliwe kwa vielelezo angalau leo hii angelionekana mtu wa maana kiasi.

Hivi sasa,
historia ina muhukumu kwa fedheha tena mbele ya umma huku akiwa mafichoni pekeyake bila msaada. Maisha matamu ndani ya V8 yalimpumbaza na kuendekeza unafiki wa kuona kila kitu kiko sawa wakati akiwa na nafasi, hali ya kua hawa wanainchi anaojaribu kuwashawishi wamuelewe leo, walikua wakipiga mayowe kutwa kucha juu ya mambo mballimbali ambayo polepole aliona hayakua tatizo kwasasababu hakutaka kuwaudhi waliompatia nafasi ile.

Mateso ya kisaikolojia na upweke anayoyapitia polepole ni fundisho kwa wanafiki wengine wenye tabia za nidhamu za uoga kama huyo msukule. Huenda anaelekea kuchanganyikiwa akiwa huko huko mafichoni.

Kama taifa,
Twendeni kwenye uchaguzi mkuu wa kihistoria kwa amani, tukaamue mustakabali mwema wa Taifa letu Tanzania bila kuyumbishwa na waliopoteza uelekeo kisiasa kama polepole. Na hakuna haja hata kidogo ya kubabaika na msamaha wa shetani ambae anataka kua kubadili jina na kua ibilisi, huko ni kujidanganya kinafiki tu.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Gentleman nakusalimia uhali gani gentleman 🤔🤔 nabakia na mawazo mseto kwenye viunga vya thread zako uandishi wako UNAENDANA KABISA KAMA MWANAMKE MGUMBA AKIZAA HALAFU UKAMWAZIBU MWANAE...HUWAGA HAWATAKAGI KUANGALIAGA KOSA JE NI LA MTOTO AU LA MWENYE KUAZIBU MTOTO.

MWENYEZI MUNGU ATUTANGULIE SANAAAAAA
 
Ni wazi polepole alikua na nafasi nzuri mno ya kushauri anachosema sasa ambacho kwa wengi kinaonekana kama ni unafiki mtupu. Ni afadhalli angeshauri wakati akiwa na nafasi halafu ushauri wake ukataliwe kwa vielelezo angalau leo hii angelionekana mtu wa maana kiasi.

Hivi sasa,
historia ina muhukumu kwa fedheha tena mbele ya umma huku akiwa mafichoni pekeyake bila msaada. Maisha matamu ndani ya V8 yalimpumbaza na kuendekeza unafiki wa kuona kila kitu kiko sawa wakati akiwa na nafasi, hali ya kua hawa wanainchi anaojaribu kuwashawishi wamuelewe leo, walikua wakipiga mayowe kutwa kucha juu ya mambo mballimbali ambayo polepole aliona hayakua tatizo kwasasababu hakutaka kuwaudhi waliompatia nafasi ile.

Mateso ya kisaikolojia na upweke anayoyapitia polepole ni fundisho kwa wanafiki wengine wenye tabia za nidhamu za uoga kama huyo msukule. Huenda anaelekea kuchanganyikiwa akiwa huko huko mafichoni.

Kama taifa,
Twendeni kwenye uchaguzi mkuu wa kihistoria kwa amani, tukaamue mustakabali mwema wa Taifa letu Tanzania bila kuyumbishwa na waliopoteza uelekeo kisiasa kama polepole. Na hakuna haja hata kidogo ya kubabaika na msamaha wa shetani ambae anataka kubadili jina na kua ibilisi, huko ni kujidanganya kinafiki tu.

Mwalimu J.K.Nyerere aliwahi kusema, ukishazoe kula nyama ya mtu, kamwe huwezi kuache. Hamphrey Polepole hawezi kuacha nidhamu ya uoga, kujipendekeza kwa wakubwa anaowapenda na unafiki hata kama ataomba msamaha wa damu na moto 🐒

Mungu Ibariki Tanzania



Kama ujawahi kuapishwa na Marais watatu basi kaa kimya tu 😄

Kama ujawahi teuliwa kumwakilisha Rais nje ya inchi basi subiri matokeo ya taifa stars leo jioni
 
Ni wazi polepole alikua na nafasi nzuri mno ya kushauri anachosema sasa ambacho kwa wengi kinaonekana kama ni unafiki mtupu. Ni afadhalli angeshauri wakati akiwa na nafasi halafu ushauri wake ukataliwe kwa vielelezo angalau leo hii angelionekana mtu wa maana kiasi.

Hivi sasa,
historia ina muhukumu kwa fedheha tena mbele ya umma huku akiwa mafichoni pekeyake bila msaada. Maisha matamu ndani ya V8 yalimpumbaza na kuendekeza unafiki wa kuona kila kitu kiko sawa wakati akiwa na nafasi, hali ya kua hawa wanainchi anaojaribu kuwashawishi wamuelewe leo, walikua wakipiga mayowe kutwa kucha juu ya mambo mballimbali ambayo polepole aliona hayakua tatizo kwasasababu hakutaka kuwaudhi waliompatia nafasi ile.

Mateso ya kisaikolojia na upweke anayoyapitia polepole ni fundisho kwa wanafiki wengine wenye tabia za nidhamu za uoga kama huyo msukule. Huenda anaelekea kuchanganyikiwa akiwa huko huko mafichoni.

Kama taifa,
Twendeni kwenye uchaguzi mkuu wa kihistoria kwa amani, tukaamue mustakabali mwema wa Taifa letu Tanzania bila kuyumbishwa na waliopoteza uelekeo kisiasa kama polepole. Na hakuna haja hata kidogo ya kubabaika na msamaha wa shetani ambae anataka kubadili jina na kua ibilisi, huko ni kujidanganya kinafiki tu.

Mwalimu J.K.Nyerere aliwahi kusema, ukishazoe kula nyama ya mtu, kamwe huwezi kuache. Hamphrey Polepole hawezi kuacha nidhamu ya uoga, kujipendekeza kwa wakubwa anaowapenda na unafiki hata kama ataomba msamaha wa damu na moto 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Anajipendekeza kwa kujiuzuru ubalozi, kuinanga serikali hadharani, kutaja mifumo ya wizi wa kura, kutaja wafadhiri wa mitandao ya ufisadi. Nakiri neno "kujipendekeza" sijui maana yake
 
Ungetulia kwanza gentleman akili ipoe kidogo. Hoja si polepole, hoja ni kila mwenye NIDA kuwa mpiga kura wa kudumu hata asipopiga kura. Sasa hii si hoja ya kujibu haraka haraka.
 
Ni wazi polepole alikua na nafasi nzuri mno ya kushauri anachosema sasa ambacho kwa wengi kinaonekana kama ni unafiki mtupu. Ni afadhalli angeshauri wakati akiwa na nafasi halafu ushauri wake ukataliwe kwa vielelezo angalau leo hii angelionekana mtu wa maana kiasi.

Hivi sasa,
historia ina muhukumu kwa fedheha tena mbele ya umma huku akiwa mafichoni pekeyake bila msaada. Maisha matamu ndani ya V8 yalimpumbaza na kuendekeza unafiki wa kuona kila kitu kiko sawa wakati akiwa na nafasi, hali ya kua hawa wanainchi anaojaribu kuwashawishi wamuelewe leo, walikua wakipiga mayowe kutwa kucha juu ya mambo mballimbali ambayo polepole aliona hayakua tatizo kwasasababu hakutaka kuwaudhi waliompatia nafasi ile.

Mateso ya kisaikolojia na upweke anayoyapitia polepole ni fundisho kwa wanafiki wengine wenye tabia za nidhamu za uoga kama huyo msukule. Huenda anaelekea kuchanganyikiwa akiwa huko huko mafichoni.

Kama taifa,
Twendeni kwenye uchaguzi mkuu wa kihistoria kwa amani, tukaamue mustakabali mwema wa Taifa letu Tanzania bila kuyumbishwa na waliopoteza uelekeo kisiasa kama polepole. Na hakuna haja hata kidogo ya kubabaika na msamaha wa shetani ambae anataka kubadili jina na kua ibilisi, huko ni kujidanganya kinafiki tu.

Mwalimu J.K.Nyerere aliwahi kusema, ukishazoe kula nyama ya mtu, kamwe huwezi kuache. Hamphrey Polepole hawezi kuacha nidhamu ya uoga, kujipendekeza kwa wakubwa anaowapenda na unafiki hata kama ataomba msamaha wa damu na moto 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Hatuendi kwenye uchaguzi ambao Tume ni tawi la CCM.
 
Hoja za polepole huwezi kujibu wewe lofaa.
Jiulize kwanini samia anataka kumrudisha January kwenye ukatibu mkuu wa CCM? Hiyo maza wenu ni dhaifu mno tokea nchi imepata Uhuru
 
Gentleman nakusalimia uhali gani gentleman 🤔🤔 nabakia na mawazo mseto kwenye viunga vya thread zako uandishi wako UNAENDANA KABISA KAMA MWANAMKE MGUMBA AKIZAA HALAFU UKAMWAZIBU MWANAE...HUWAGA HAWATAKAGI KUANGALIAGA KOSA JE NI LA MTOTO AU LA MWENYE KUAZIBU MTOTO.

MWENYEZI MUNGU ATUTANGULIE SANAAAAAA
Hayati baba wa taifa mwalimu J.K.Nyerere aliwahi kusema, ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha hata iweje.

Nimeshangazwa na mtu aliezoea kuishi kinafiki kwa kujipendekeza kwa wakubwa aliowapenda na uovu wao tena kwa nidhamu ya uoga, eti leo anaomba msamaha kwa alio wahadaa.

hizo ni hadaa za shetani kujiita ibilisi huku maskini ya Mungu wenye imani haba wakishangilia wanavyotapeliwa kisaikolojia na ibilisi huyo.

Tuwe wakweli tu,
polepole anapitia mateso ya kisaikolojia akiwa mafichoni mpweke huku akipuuzwa na kundi kubwa la watu na kutiwa moyo na wachache waliopoteza uelekeo kama yeye.

Uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania utafanyika kwa amani sana Oct 29,2025. Tujitokeze sote kupiga kura 🐒
 
Hoja za polepole huwezi kujibu wewe lofaa.
Jiulize kwanini samia anataka kumrudisha January kwenye ukatibu mkuu wa CCM? Hiyo maza wenu ni dhaifu mno tokea nchi imepata Uhuru
relax gentleman acha kuweweseka na ramli ikiwa huna pweinti 🐒
 
Ni wazi polepole alikua na nafasi nzuri mno ya kushauri anachosema sasa ambacho kwa wengi kinaonekana kama ni unafiki mtupu. Ni afadhalli angeshauri wakati akiwa na nafasi halafu ushauri wake ukataliwe kwa vielelezo angalau leo hii angelionekana mtu wa maana kiasi.

Hivi sasa,
historia ina muhukumu kwa fedheha tena mbele ya umma huku akiwa mafichoni pekeyake bila msaada. Maisha matamu ndani ya V8 yalimpumbaza na kuendekeza unafiki wa kuona kila kitu kiko sawa wakati akiwa na nafasi, hali ya kua hawa wanainchi anaojaribu kuwashawishi wamuelewe leo, walikua wakipiga mayowe kutwa kucha juu ya mambo mballimbali ambayo polepole aliona hayakua tatizo kwasasababu hakutaka kuwaudhi waliompatia nafasi ile.

Mateso ya kisaikolojia na upweke anayoyapitia polepole ni fundisho kwa wanafiki wengine wenye tabia za nidhamu za uoga kama huyo msukule. Huenda anaelekea kuchanganyikiwa akiwa huko huko mafichoni.

Kama taifa,
Twendeni kwenye uchaguzi mkuu wa kihistoria kwa amani, tukaamue mustakabali mwema wa Taifa letu Tanzania bila kuyumbishwa na waliopoteza uelekeo kisiasa kama polepole. Na hakuna haja hata kidogo ya kubabaika na msamaha wa shetani ambae anataka kubadili jina na kua ibilisi, huko ni kujidanganya kinafiki tu.

Mwalimu J.K.Nyerere aliwahi kusema, ukishazoe kula nyama ya mtu, kamwe huwezi kuache. Hamphrey Polepole hawezi kuacha nidhamu ya uoga, kujipendekeza kwa wakubwa anaowapenda na unafiki hata kama ataomba msamaha wa damu na moto 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Msiwe wanafiki!
Hatumpingi mama, lakini mwenendo anaoenda, kukiuka katiba ya chama, haimuweki mahali pazuri.
Ni kama kuruhusu mpinzani kukushambulia mchana kweupe.
Na akifanya hivyo huku akijua anavunja katiba basi kuna kitu nyuma ya kitendo hicho.
Haihitaji akili nyingi kulielewa hilo, na ndio point ya PoleX2.
 
Ni wazi polepole alikua na nafasi nzuri mno ya kushauri anachosema sasa ambacho kwa wengi kinaonekana kama ni unafiki mtupu. Ni afadhalli angeshauri wakati akiwa na nafasi halafu ushauri wake ukataliwe kwa vielelezo angalau leo hii angelionekana mtu wa maana kiasi.

Hivi sasa,
historia ina muhukumu kwa fedheha tena mbele ya umma huku akiwa mafichoni pekeyake bila msaada. Maisha matamu ndani ya V8 yalimpumbaza na kuendekeza unafiki wa kuona kila kitu kiko sawa wakati akiwa na nafasi, hali ya kua hawa wanainchi anaojaribu kuwashawishi wamuelewe leo, walikua wakipiga mayowe kutwa kucha juu ya mambo mballimbali ambayo polepole aliona hayakua tatizo kwasasababu hakutaka kuwaudhi waliompatia nafasi ile.

Mateso ya kisaikolojia na upweke anayoyapitia polepole ni fundisho kwa wanafiki wengine wenye tabia za nidhamu za uoga kama huyo msukule. Huenda anaelekea kuchanganyikiwa akiwa huko huko mafichoni.

Kama taifa,
Twendeni kwenye uchaguzi mkuu wa kihistoria kwa amani, tukaamue mustakabali mwema wa Taifa letu Tanzania bila kuyumbishwa na waliopoteza uelekeo kisiasa kama polepole. Na hakuna haja hata kidogo ya kubabaika na msamaha wa shetani ambae anataka kubadili jina na kua ibilisi, huko ni kujidanganya kinafiki tu.

Mwalimu J.K.Nyerere aliwahi kusema, ukishazoe kula nyama ya mtu, kamwe huwezi kuache. Hamphrey Polepole hawezi kuacha nidhamu ya uoga, kujipendekeza kwa wakubwa anaowapenda na unafiki hata kama ataomba msamaha wa damu na moto 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Futungo hili. Safari hii halitasalia jiwe juu ya jiwe lisilobomolewa.
 
Msiwe wanafiki!
Hatumpingi mama, lakini mwenendo anaoenda, kukiuka katiba ya chama, haimuweki mahali pazuri.
Ni kama kuruhusu mpinzani kukushambulia mchana kweupe.
Na akifanya hivyo huku akijua anavunja katiba basi kuna kitu nyuma ya kitendo hicho.
Haihitaji akili nyingi kulielewa hilo, na ndio point ya PoleX2.
Gentleman,
tunakwenda na kumaliza na mwendo huu huu wa speed and standards kuelekea uchaguzi mkuu na hata baada ya uchaguzi mkuu bila mbambamba yoyote 🐒
 
Back
Top Bottom