Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
Wanajamvi, hawa jamaa wanaboa, inawezekanaje waseme wataanza kutoa vitambulisho vya uraia kwa wafanyakazi wa serikali, au ndo watu kutaka waonekane wamefanya kazi, hivi anaehitaji kitambulisho hasa ni huyu mfanyakazi wa serikali mwenye kitambulisho cha kazi wengine na passport juu na kadi za benki zinazomtambulisha unawaacha wananchi ambao tunatakiwa tuwatambue. Tena ningefikiri wangeanza na mkoa kama kigoma ambako wageni ni wengi. Au ndo vichwa nazi?