MfalmewaKiha
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 1,191
- 1,231
Takriban mwaka mmoja ulio pita Niliahidi kumshikisha au kuwasilisha Maafisa wa uhamiaji kwenye mikono ya sheria baada ya kuwa na uhitaji wa Hati ya kusafiria
Ukisoma kwenye website yao inasema na kutoa maelezo na gharama za kupata Hati ya kusafiria ambayo bei yake ni shilingi 150,000 ila pamoja na hayo ukweli ni kwamba huwezi pewa kwa bei hiyo
Nilianza mchakato huo wa kuomba ila dalili za wao kutaka hela zilikuwa wazi walihitaji 350,000 kwa kifupi sikuwapa mwisho mmoja wao aliambulia kutiwa nguvuni.
Sasa basi Siku chache zilizo pita nilipoteza kitambulisho cha NIDA, KWENYE MTANDAO WAMESEMA ILI NIPATE KIPYA LAZIMA NILIPE SH 20,000
Ila cha ajabu nimekwenda ofisini kwao wameniambia gharama ni shilingi Elfu 50.
Sasa basi ni hiyo 50 ntawapa ila iweni makini siwatishi ila hiyo hela itaondoka na mtu.
NB: Uhamiaji Singida na yenyewe mhhhhh.(ngoja nisiseme)
Ukisoma kwenye website yao inasema na kutoa maelezo na gharama za kupata Hati ya kusafiria ambayo bei yake ni shilingi 150,000 ila pamoja na hayo ukweli ni kwamba huwezi pewa kwa bei hiyo
Nilianza mchakato huo wa kuomba ila dalili za wao kutaka hela zilikuwa wazi walihitaji 350,000 kwa kifupi sikuwapa mwisho mmoja wao aliambulia kutiwa nguvuni.
Sasa basi Siku chache zilizo pita nilipoteza kitambulisho cha NIDA, KWENYE MTANDAO WAMESEMA ILI NIPATE KIPYA LAZIMA NILIPE SH 20,000
Ila cha ajabu nimekwenda ofisini kwao wameniambia gharama ni shilingi Elfu 50.
Sasa basi ni hiyo 50 ntawapa ila iweni makini siwatishi ila hiyo hela itaondoka na mtu.
NB: Uhamiaji Singida na yenyewe mhhhhh.(ngoja nisiseme)