Nida na Vyeti vya kuzaliwa naona ni kama kero

Nida na Vyeti vya kuzaliwa naona ni kama kero

Official Ric

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
56
Reaction score
95
Tuendelee kuchapa kazi kulijenga Taifa.....

MImi naona Kuna shida kwenye system ya vyeti vya kuzaliwa na Nida mfano taarifa zote zinazopatikana kwenye NIDA Zipo kwenye vyeti tena nida iko na Tarifa nyingi na za muhimu kuliko NIDA ss kwa nini kila ofisi ya serikali utakayoenda wanatak cheti cha kuzaliwa na nida kwa pamoja hivi huwa wanataka kudhibitisha nini kwa nini vyeti vya kuzaliwa vingetumiwa na watoto walio chini ya miaka kumi na nane afu kuanzia miak 18 watumie nida na nida ziwe zinatolewa mashuleni kwa wanafunzi waliotimiza miak 18

Hii itapunguza mlundikano wa vyeti na pia kama watawek nida basi itumkke mfumo kma wa kusajili lain kma unatak huduma fulan itakayohitaji kutumia nida basi utaweka alama za vidole afu inakuj sura yako anacofirm mtoa huduma kama ni ww au lah...

Siyo kila sehemu ambatanisha cheti cha kuzaliwa na Nida nakati taarifa ndo zile zile mfamo hta kweny kuomba ajira watatak cheti cha kuzaliwa na Nida nkti nida iko na Taarifa zote
labda wajuzi wa mambo mtuambie tujue .......

SAmahani kwa maandishi marefu
 
Back
Top Bottom