NIDA kuanzia mwezi huu wataanza kutoza fedha Taasisi zote za Umma na Binafsi ambazo zinatumia taarifa za Mamlaka hiyo kuhudumia Wananchi

wakichaji zitakuwa nzuri
Watasababisha wananchi wachajiwe
Inter governmental correspondences zinatakiwa kuwa bure,ili kuharakisha huduma
Maana yake uhamiaji wakichelewa kulipa bili,watafungiwa access,pasi nazo zitakua hazitoki
Kwanza kwa mujibu wa sheria NIDA si taasisi ya kibiashara,ndio maana vitambulisho bure
Wameshindwa kutoa vitambulisho,wanaingia kwenye kazi si zao
Kazi kubwa ya NIDA ni kutoa vitambulisho,na kuachia access ili maisha yawe rahisi
Kwa hiyo polisi wakimfuatilia muhalifu itabidi walipie?
 
Watasababisha wananchi wachajiwe
Inter governmental correspondences zinatakiwa kuwa bure,ili kuharakisha huduma
Maana yake uhamiaji wakichelewa kulipa bili,watafungiwa access,pasi nazo zitakua hazitoki
Kwanza kwa mujibu wa sheria NIDA si taasisi ya kibiashara,ndio maana vitambulisho bure
Wameshindwa kutoa vitambulisho,wanaingia kwenye kazi si zao
Kazi kubwa ya NIDA ni kutoa vitambulisho,na kuachia access ili maisha yawe rahisi
Kwa hiyo polisi wakimfuatilia muhalifu itabidi walipie?
POLISI LOSS REPORT TUNALIPIA NA INAPATIKANA CHAPCHAP ONLINE TOFAUTI NA ZAMANI

Hizo pesa taasisi watakazolipa NIDA ni kodi zetu hamna shida na hawawezi kwama
 
Huduma nyingi zilipokuwa bure zilikuwa mbovu mno sote mashahidi.maji bure cock tu ikaharibika bomba la jumuiya unaambiwa usubiri bajeti ijayo sababu fungu hamna
Heri tulipie zipatikane haraka wasiwe na visingizio.Cha muhimu bei ziwe affordable

Waunge taasisi nyingi kadri inavyowezekana na taasisi si lazima ziandikiwe mfano kuna nyingi unaulizwa uraia ungeni mfano sasa hivi vyama vya siasa viko michakato ya wagombea maswali ya taarifa kama za NIDA yatatakiwa .VYAMA vya siasa vijiunge au waungwe kwa nguvu isiwe hiari
huduma gani NIDA wenyewe wa hovyohovyo tangu 2017 hadi leo watu tunafuatilia vitambulisho vya NIDA tunapigiwa tu kalenda,benki ukipeleka namba ya nida wanataka copy ya kitambulisho na watu hawana
 
POLISI LOSS REPORT TUNALIPIA NA INAPATIKANA CHAPCHAP ONLINE TOFAUTI NA ZAMANI

Hizo pesa taasisi watakazolipa NIDA ni kodi zetu hamna shida na hawawezi kwama
Kwa nini NIDA na isiwe uhamiaje au huko kwenye taasisi?
Kuandikisha watu tu wanashindwa
NEC iliandikisha wapiga kura milioni 5 kwa wiki moja tu,hao mpaka leo wanazungurusha makalio zoezi limekua endelevu kama la kusajili vizazi
 
Pamoja na hilo wazo la watumiaji wa taarifa za NIDA kutakiwa kuzilipia, ni vema vikawekwa viwango vya tozo, na ina a long run, zitengenewze Kanuni za kuelekeza tozo hizo, na iwekwe wazi nani atzilipia, isijekuwa hayo makampuni yakambebesha mzigo mwananchi wa kawaida, ataumia sana, kwani karibu kwenye kila huduma, taarifa za NIDA zimekuwa ni hitaji la lazima (compulsory requirement)
 
Back
Top Bottom