Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 14,138
- 33,524
Nimemsikia simba chawene kuanzisha vitambulisho vya NIDA chini ya miaka 18.
Yani kwa nilivyo safiri na kujifunza kwangu nchi za nje, Vitambulisho vya taifa vipo kwa ajili kisheria ukishatimiza umri wa kujitambua ndio unapatiwa.
Kingine zaidi mfumo wa nida umekuwa kama kitengo cha wasajili laini yani hakuna mamlaka kamili kati ya uhamiaji na nida.
Yani kwa nilivyo safiri na kujifunza kwangu nchi za nje, Vitambulisho vya taifa vipo kwa ajili kisheria ukishatimiza umri wa kujitambua ndio unapatiwa.
Kingine zaidi mfumo wa nida umekuwa kama kitengo cha wasajili laini yani hakuna mamlaka kamili kati ya uhamiaji na nida.