Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,311
- 4,018
Mujahedeen (Taliban)
Hezbollah
Hamas
Al-Qaeda
Al shabab
Boko Haram
I.S.I.S
Hawa ni radical islamist groups ambazo zimeleta maafa hapa duniani kwa kisingizio cha kutafuta haki.
Iran
Palestine
Labanon
Iraq
Yemen
Hizi ni baadhi ya nchi ambazo uislam wa itikadi kali umeleta athari kwa wananchi. Hakuna freedom of expression wala press, hakuna freedom of worship, kazi yao niku-fund terrorism and killings of innocent citizens ambao hawafati sheria zao kali.
Wanafundishwa kuwa adui yao ni mkristo, muyahudi na mmarekani, na kwamba ukimuumiza yoyote aliye wa aina hiyo basi utawekwa katika hadhi za juu za peponi.
Wanafundisha and kupandikiza chuki vijana wao ili kizazi cha hila na vinyongo kiendelee na ugaidi usiishe duniani.
Mwenye akili ambayo haina majini ya kupandikizwa chuki ataelewa.
Ambao mnatetea radical islamists kumbukeni waliyoyafanya ubalozi wa marekani 1998, usiombe yakukute, upuuzi wako utaisha.
Hezbollah
Hamas
Al-Qaeda
Al shabab
Boko Haram
I.S.I.S
Hawa ni radical islamist groups ambazo zimeleta maafa hapa duniani kwa kisingizio cha kutafuta haki.
Iran
Palestine
Labanon
Iraq
Yemen
Hizi ni baadhi ya nchi ambazo uislam wa itikadi kali umeleta athari kwa wananchi. Hakuna freedom of expression wala press, hakuna freedom of worship, kazi yao niku-fund terrorism and killings of innocent citizens ambao hawafati sheria zao kali.
Wanafundishwa kuwa adui yao ni mkristo, muyahudi na mmarekani, na kwamba ukimuumiza yoyote aliye wa aina hiyo basi utawekwa katika hadhi za juu za peponi.
Wanafundisha and kupandikiza chuki vijana wao ili kizazi cha hila na vinyongo kiendelee na ugaidi usiishe duniani.
Mwenye akili ambayo haina majini ya kupandikizwa chuki ataelewa.
Ambao mnatetea radical islamists kumbukeni waliyoyafanya ubalozi wa marekani 1998, usiombe yakukute, upuuzi wako utaisha.