konda msafi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 1,666
- 8,591
- Thread starter
- #61
Kabisa hilo litakuwepo kwenye ilani ya uchaguzi. Labda kwa kudodosa kidogo. Serikali yangu haitaruhusu ushoga maana serikali yangu japo haitakuwa na dini ila wapiga kura wangu wana dini. Na hakuna maandiko yeyote ya dini yanayoruhusu ushoga. Hivyo kitakachofanyika ni kifuatacho.Umeongelea uhuru wa mavazi ila upande wa uhuru wa faragha ujagusia ( mashoga)
Mtu yeyote akithibitika kuwa ni shoga au anajihusisha na mambo ya ushoga atakamatwa na kupelekwa kwenye rehabilitation centre. Serikali yangu itakuwa inaamini kuwa ushoga ni ugonjwa.
Hakuna mwanaume mwenye akili timamu anayeweza kujihusisha na ushoga hivyo shoga yeyote ni mgonjwa wa akili na anahitaji matibabu. Hivyo atapelekwa kwenye hizi centre kutibiwa.