Nice wa tilisho posho yake shilingi ngapi?

Nice wa tilisho posho yake shilingi ngapi?

Huyo ana nyoa kwa 50000
Hadi sasa ana suti kama hizo pair zaidi ya kumi na kila pair amesonesha kwa Tsh 500000/=
Kiufupu hiyo ni konda anayelipwa mshahara mkubwa kuliko mqkonda wote wa mabasi duniani!

😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎
 
Kuna huyu demu wangu wa kichaga nice wa tilisho safari anaye trend mitandaoni kazi yake ukondakta kampuni ya tilisho safari tuache endorsement zake.

Sponsors wake na madeal mengine tuzingatie posho tu ya bus me nimewaambia wana kwamba huyu atakuwa halipwi juu ya 50,000/= na konda hata ajikute balozi kiasi gani konda hanaga mshahara ni posho tu na anayezingatiwa huwa ni dereva mshahara na posho ndo analipwa nyie wadau mnasemaje kwenye bus anapatiwa shingapi je ni zaidi ya laki kukizi mahitaji yake?

View attachment 2764304
This is JF of GT's, welcome aboard.
 

Attachments

  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    33.1 KB · Views: 1
Jina Nancy jina la kipekee

Soon utasikia ni muhudumu wa shirika fulani la ndegeee ama ameitwa kuwa ambassador wa taasisi fulani

all the best Nancy ..... kikubwa uwe makini wachafuaji nao si watu
 
Huwa siwaelewagi wanaume wanapoenda wadada wenye mitako mikubwa,unakuta mdada ana mimatako mikubwa imejaa nundunundu hata kusafisha uchi hautakati vizuri,akitembea kidogo tu uchi unatema kutokana na friction(msuguano),binafsi kitoto kama hiki hata IST nakihonga,hata chumvini naingia bila shida maana ni dhahiri katakuwa kanaweza ku-maintain usafi,sio mimatako mikuuuubwa inajaza harufu tu,Nancy kama umo humu njoo pm tuyajenge tafadhali
 
Mshamba huyu 😁😁huku Dar atapewa mimba soon ,kama star baada ya kutoka migombani sasa yupo mjini kabadilika.
 
Huwa siwaelewagi wanaume wanapoenda wadada wenye mitako mikubwa,unakuta mdada ana mimatako mikubwa imejaa nundunundu hata kusafisha uchi hautakati vizuri,akitembea kidogo tu uchi unatema kutokana na friction(msuguano),binafsi kitoto kama hiki hata IST nakihonga,hata chumvini naingia bila shida maana ni dhahiri katakuwa kanaweza ku-maintain usafi,sio mimatako mikuuuubwa inajaza harufu tu,Nancy kama umo humu njoo pm tuyajenge tafadhali
Nimesoma comment yako halafu nikarudi juu kusoma ID yako nikaishia kucheka tu. Ni kweli kalio kubwa linavutia likiwa ndani ya kipedo tu ila likitolewa unakuta makunyanzi na matuta kibao.
Takle la wastani hilo ndio lenyewe sasa, kwanza unalitendea haki maana unakuwa unalimudu kwa kila jaribio.
 
Kuna bus moja la dar-songea abiria wanagawiwa maandazi njiani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom