Nice wa tilisho posho yake shilingi ngapi?

Nice wa tilisho posho yake shilingi ngapi?

Wabongo wengi tuna roho mbaya sana.

Hadi kabinti tunakaonea wivu kwa kazi yake ya ukondakta na kucheza na social media.

Huyo demu mjanja sana.. zama hizi ukicheza na social media vizuri unatajirika.

Kuna ajira mpya zama hizi inaitwa Social media influencer.. ina kipato kikubwa na haina jasho. Huyo demu social media itampa hela sana akiendelea kwa spidi hiyo.

Kina mwijaku sio wajinga kujitoa akili

Kina Hamisa Mobetto sio wajinga kujibrand kihuni.

Kinq kajala na mwanae sio wajinga

Mange kimambi sio mjinga mjinga.

Piere liquid alijibrand kwa ulevi tu. Akatrend na akapata ajira gsm anafanya kazi now. Bila social media gsm angemuonea wapi piere
Umemaliza👍
 
Kuna huyu demu wangu wa kichaga nice wa tilisho safari anaye trend mitandaoni kazi yake ukondakta kampuni ya tilisho safari tuache endorsement zake.

Sponsors wake na madeal mengine tuzingatie posho tu ya bus me nimewaambia wana kwamba huyu atakuwa halipwi juu ya 50,000/= na konda hata ajikute balozi kiasi gani konda hanaga mshahara ni posho tu na anayezingatiwa huwa ni dereva mshahara na posho ndo analipwa nyie wadau mnasemaje kwenye bus anapatiwa shingapi je ni zaidi ya laki kukizi mahitaji yake?

View attachment 2764304

Yaani umekosa kitu cha kupost hadi unakaa chini kujadilia mshahara wa dada wa watu?
Unajua hiyo ni sawa na kuingilia maisha binafsi ya mtu?
 
ngoja kwanza..maana nataka nilale. mnasema posho yake ni Fifty tuu.. basi nitamtafta..!
 
Labda route ndefu za dar to iringa ,2 songea kdg zina maokoto ila chuga nauli 30000 lazima wajiongeze njiani ila official posho yake kila safari maximum 50000 si ndio
Mara siku 30 anazokuwa barabarani ni ngapi hapo? Tena hiyo ni net maana haina cha makato wala nini... Bado hapo msosi ni free plus mizigo nk...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom