Nice wa tilisho posho yake shilingi ngapi?

Nice wa tilisho posho yake shilingi ngapi?

Kuna huyu demu wangu wa kichaga nice wa tilisho safari anaye trend mitandaoni kazi yake ukondakta kampuni ya tilisho safari tuache endorsement zake.

Sponsors wake na madeal mengine tuzingatie posho tu ya bus me nimewaambia wana kwamba huyu atakuwa halipwi juu ya 50,000/= na konda hata ajikute balozi kiasi gani konda hanaga mshahara ni posho tu na anayezingatiwa huwa ni dereva mshahara na posho ndo analipwa nyie wadau mnasemaje kwenye bus anapatiwa shingapi je ni zaidi ya laki kukizi mahitaji yake?

View attachment 2764304
pambania maisha yako kijana, maisha ya watu hayakuhusu wala hayakusaidii kitu.
 
Daah mnamuonea wivu hadi mtoto mdogo huyo aisee mpaka mnakuja kukagua anapata kiasi gani Wabongo kiboko hamchelewi kuja na matokeo yake ya Form Four kisa kajenga gorofa..
 
Wakati wake sasa, nakakubali
Screenshot_20230927-223435.jpg
Screenshot_20230927-223550.jpg
Screenshot_20230927-230526.jpg
 
Kaacheni katoto ka watu....akili yake ipo vizuri mradi tu asije akalewa sifa na umaarufu ila so far kulingana na interview zake anaonekana Ana akili atafika mbali
 
Ni hivi kuna best yangu alikuwa konda kwa super feo, Dar to Mbinga,

Alisema hivi alikuwa analipwa mshahara 150,000 kwa mwezi, na pesa ya kula ni 5,000 kila siku, ni hivi kuhusu kula anasema ofa kutoka kwa wadau,

Na anasema kazi inalipa zaidi mkielewana na dereva wako,
 
Hapo ndio utaelewa age bracket inavyokuwa na impact.

Jamii forums imepokea watu wazima wapya ambao walizaliwa 2005, na kaka zao walizaliwa 1996, hawa kidogo huwa hawapendi kwenda deep na topic zao nyingi ni za uzito wa unyoya.

Jamii forums ya sasa ina walimbukeni wengi sio kama zamani mpuuze mleta mada siku zako zipate kuongezeka maradufu
 
Kwenye malipo anayolipwa na office sidhani kama anatisha kiivo labda huko kwenye endorsement

Hizi tik tok na Instagram zimempa mileage tu ila sidhani kama ana content ya kumfanya amaintain mda mrefu
 
Wapi Simbaa! Platinumz...

Atusaidie... Kwa Hiki kitoto!

Ndio maana akaitwa simba!...hakuitwa simba ili ale nyasi...

namshangaa simba hadi sasa kimya!?

Anaachaje nyama kama hii...

Simba Anakiachaje hichi kitoto! Kinatamba tamba kama vile wanaume hatupo!?

Simba anatuangushaa! Wanaume!
 
Wapi Simbaa! Platinumz...

Atusaidie... Kwa Hiki kitoto!

Ndio maana akaitwa simba!...hakuitwa simba ili ale nyasi...

namshangaa simba hadi sasa kimya!?

Anaachaje nyama kama hii...

Simba Anakiachaje hichi kitoto! Kinatamba tamba kama vile wanaume hatupo!?

Simba anatuangushaa! Wanaume!
Kama na wewe ni Mwanaume na Upo kwanini usimfuate wewe? Au wewe ni Swala?
 
Kwenye malipo anayolipwa na office sidhani kama anatisha kiivo labda huko kwenye endorsement

Hizi tik tok na Instagram zimempa mileage tu ila sidhani kama ana content ya kumfanya amaintain mda mrefu
Ukikutana nae ni wa kawaida sanaa...mfupii hlf km katoto kbs
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom