mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 7,258
- 9,728
Mkuu huyu dogo sana hawez kuwa na mtoto wa kuingia jf amemaliza chuo 2019 na ajira kapata 2021 mama alivo ingia madarakan amepagwa huko LindiSahihi kabisa, kukaa kimya inakuepisha na mengi hususan kutukanana na watoto wako humu
Huyo dogo ni wa singida nimecheza nae draft sana wakati yupo kwenye goli lake la kuuza mtumba wa nguo na viatu pale singida mjini mtaa wa karakana
Usifikir ni mkubwa wakati anapata ajira alikua hajaoa wala hakuwa na mtoto