Nianzie wapi mafao NSSF?

siku hizi wanalipa?? asilimia ngapi?? sio tena mpaka miaka 60
Kuna FAO LA kutokuwa na ajira kuna kulipwa asilimia 33.3 kwa kipindi cha miezi 6 mfululizo au malipo ya mkupuo ya asilimia 50 kwa kile ulichokichangia, lkn malipo haya yatategemea na miezi yako ya uchangiaji.
Kama ulichangia kuanzia miezi 18 na kuendelea na kazi uliyokuwa ukiifanya ni ya kitaaluma let say mhandisi, daktari, mhasibu, basi utakuwa ukilipwa asilimia 33.3 ya mshahara wako wa mwisho, na kama michango yako iko chini ya miezi 18 basi utapatiwa asilimia 50 kwa mkupuo kwa kile ulichokichangia.
 
baada ya miezi 6 ,mzigo uliobaki vp
Kuna FAO LA kutokuwa na ajira kuna kulipwa asilimia 33.3 kwa kipindi cha miezi 6 mfululizo au malipo ya mkupuo ya asilimia 50 kwa kile ulichokichangia, lkn malipo haya yatategemea na miezi yako ya uchangiaji.
Kama ulichangia kuanzia miezi 18 na kuendelea na kazi uliyokuwa ukiifanya ni ya kitaaluma let say mhandisi, daktari, mhasibu, basi utakuwa ukilipwa asilimia 33.3 ya mshahara wako wa mwisho, na kama michango yako iko chini ya miezi 18 basi utapatiwa asilimia 50 kwa mkupuo kwa kile ulichokichangia.
 
hilo fao lilikuwepo tangu zamani au jipya,kuna tofauti gani kati ya hayo mafao m

hilo fao lilikuwepo tangu zamani au jipya,kuna tofauti gani kati ya hayo mafao mawili
Hili FAO LA kutokuwa na ajira linawahusu wale ambao kazi zao ni za kitaaluma kwa lugha nyingine sio vibarua, ila kwa kazi ambazo sio za kitaaluma let say kwa vibarua FAO LA kujitoa bado lipo na watu wanalipwa pesa zao.
 
Kuna FAO LA kutokuwa na ajira kuna kulipwa asilimia 33.3 kwa kipindi cha miezi 6 mfululizo au malipo ya mkupuo ya asilimia 50 kwa kile ulichokichangia, lkn malipo haya yatategemea na miezi yako ya uchangiaji.
Kama ulichangia kuanzia miezi 18 na kuendelea na kazi uliyokuwa ukiifanya ni ya kitaaluma let say mhandisi, daktari, mhasibu, basi utakuwa ukilipwa asilimia 33.3 ya mshahara wako wa mwisho, na kama michango yako iko chini ya miezi 18 basi utapatiwa asilimia 50 kwa mkupuo kwa kile ulichokichangia.
Mku samahani ili nipate mafao yangu yote nssf wanatakiwa wanipe fomu gani kwani wao walinipa ile ya maombi kukosa ajira kuna Mtu aliniambia hii siwezi kulipwa mafao yote.
Kwani mm ni wa Elimu ya secondary
 
Mku samahani ili nipate mafao yangu yote nssf wanatakiwa wanipe fomu gani kwani wao walinipa ile ya maombi kukosa ajira kuna Mtu aliniambia hii siwezi kulipwa mafao yote.
Kwani mm ni wa Elimu ya secondary
Unatakiwa upewe fomu iliyoandikwa pale juu maombi ya mkupuo maalumu, ambayo hiyo inawahusu wale wa kazi zisizo za kitaaluma let say vibarua katika viwanda, miradi ya ujenzi n.k
 
Unatakiwa upewe fomu iliyoandikwa pale juu maombi ya mkupuo maalumu, ambayo hiyo inawahusu wale wa kazi zisizo za kitaaluma let say vibarua katika viwanda, miradi ya ujenzi n.k
Asante Mku.
Kama ndio hivyo ngoja nitafute kazi ktk hiyo miezi sita nisipopata nikadai changu.
Kwani Elimu yangu ni ya Secondary na kazi niliyokuwa naifanya sikusomea kwani nilijifunzia hapahapo kwani nilianza kama kibarua wa masijala mpaka nikaijua ndio wakaniajuri
 
Asante Mku.
Kama ndio hivyo ngoja nitafute kazi ktk hiyo miezi sita nisipopata nikadai changu.
Kwani Elimu yangu ni ya Secondary na kazi niliyokuwa naifanya sikusomea kwani nilijifunzia hapahapo kwani nilianza kama kibarua wa masijala mpaka nikaijua ndio wakaniajuri
Kwa ushauri wangu ungeanza mchakato wa kufungua madai sasa hivi. Ikitokea umepata kazi hivi karibuni na ukiwa bado hujalipwa basi mchakato watausimamisha.
 
Nashukuru Sana wadau

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia ujue kuwa kama ulikuwa unafanya kazi ambayo ilihitaji uwe na profession kama mwalimu, IT technician au nyingine zifananazo na hizo haki yako kwa sasa kama hujafikia miaka 55 ni asilimia 33% tu ya iliyokuwa gross salary yako ukiwa kazini...na utalipwa hiyo 33% kwa miez6 tu na baada ya hapo subiri ufike miaka 55 upate nusu ya mafao yako yaliyobakia au miaka 60 ili ukamilishiwe malipo yaliyobaki.

Mitano tena 🙄
 
Mimi nilijaza fomu za FAO LA kutokuwa na ajira sikuona hicho kitu na tayari nimeshalipwa.
Cheti cha utumishi ni lazima, iwapo barua yako haionyeshi nafasi yako ya kazi uliyokuwa unaifanya kwenye hiyo ajira.
Kama barua imejieleza kila kitu si cha lazima.
 
Hiyo taasisi bado ipo
1.Kachukue barua ya kumaliza mkataba toka hiyo ofisi yako ikionyesha kwamba tokea tarehe hiii umemaliza mkataba nao na hutaendelea. 2. Mkataba/barua ya ajira kwa hiyo taasisi. 3.Nenda ofisi za NSSF uhakiki michango yako yote na hakikisha iko sawa na waku printie lile jedwali la michango. Kama kuna miezi michango haipo nenda mhasibu wa hiyo ofisi yako akupe salary slip kuonyesha michango ilitumwa. Kama kila kitu kiko tayari sasa nenda kadai pesa yako.
 
Back
Top Bottom