Fideliiiz
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 632
- 407
Habari za mida hii Bandugu, twende kwa hoja moja kwa moja, mimi nilifanya kazi taasisi moja ya kiserikali sasa mkataba wangu wa kazi umeisha tokea mwaka 2019.
Sikuongeza tena mkataba na pia sikufatilia mafao yangu NSSF sababu nilisafiri mbali kumuuguza Mzee wangu now nimerudi wadau nianzie wapi msaada wenu.
Sikuongeza tena mkataba na pia sikufatilia mafao yangu NSSF sababu nilisafiri mbali kumuuguza Mzee wangu now nimerudi wadau nianzie wapi msaada wenu.