Nianze na kuku wa aina gani kwa mtaji wa Tshs 400000

Duuu hapo umempoteza mazima.
 
Nachojua katika kitu chochote hutakiwi kuanza pakubwa, 400k unaweza kuanza na kufuga ila usiexpect pakubwa mara moja, nunua kuku chotara wa5 au 6 wakubwa mmoja akiwa jogoo, andaa mabanda mazuri na safi, nunua chakula bora pamoja na chakula cha kuboost kuku kutaga, baada ya muda wataanza kutaga kumbuka kuwaandalia mahali pazuri pakutagia kisha collect mayai kila wanapotaga,maana yake kila siku tutakuwa tunaexpect mayai matano au 4 ambapo kwa ck 6 ni 30 au 24,peleka kutotolesha ukipata vifaranga andaa mabanda yakuwalea wew mwenyew....

Cycle io itaendelea na kujikuta baada ya miez almost 6 mpk mwaka ukawa na zaidi ya kuku 150+
 
Mkuu uko nondo sanaa
 
soko unalo ?, soko ndio kila kitu.., to wet your feet kama unaweza na margin ipo anza kwa kununua na kuuza uone kama biashara inakufaa.., na utakapoanza anza kidogo kidogo kama learning curve.., usije ukaingia mazima ukaua mtaji...

Kuna wafugaji wa kutosha wamefanikiwa..., pia kuna waliojaribu kufuga wengi tu wakalia kilio cha kusaga meno.., ili kujua wewe ni yupi kati ya hao anza kidogo kidogo
 
Kwa kukazia tu hapo ni kweli kabisa kuku wa kienyeji kama hutakuwa makini kwenye vifaranga utaishia kuwaona kuku wakubwa tu, handling ya vifaranga 50 is not a joke kama hujaweka sawa mazingira
 
Mkuu shukrani kwa mchango wako hapa, nimepitia threads zako zote za zamani
, ulikua na visa sana na mabalaa
. Siku hizi umepunguza sana kuandika humu jukwaani
 
Asante hata mm nimepata kitu kutoka kwako .barikiwa sana
 
Mkuu post yako nimeielewa vizuri.
Ila Niko na swali moja,ufugaji Kama ambao unafanya wewe mtu anatakiwa awe na eneo la kuanzia ukubwa gani?
Kwa mfano Mimi kaeneo kangu kana ukubwa wa mita 13x15.
Eneo kama hili linafaa zaidi kwa ufugaji wa kuku wa aina gani?
 
Kama na hivi naacha kufuga aises
 

Hilo eneo dogo kwa free range. Kama unawafugia wenye banda space inatakiwa mita moja ya mraba kuku wanne.
 
Hapo kwenye dawa na chanjo na Hydroponic kuna udadavuzi kidogo unaweza toa....?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…