Nianze na CPA au bachelor degree?

Nianze na CPA au bachelor degree?

Kuna watu kama Amos Makala ana CPA ambayo haina manufaaa yoyote kwake yeye mwenyewe wala kwa jamii
Tukifananisha teuzi za juu kutoka mamlaka za juu na Professional yoyote bado teuzi hizo ni bora sana. Ndio maana ma- engineer na ma- professor wanapigania ubunge ili wapate teuzi za uwaziri.
 
Tukifananisha teuzi za juu kutoka mamlaka za juu na Professional yoyote bado teuzi hizo ni bora sana. Ndio maana ma- engineer na ma- professor wanapigania ubunge ili wapate teuzi za uwaziri.
Kuna watu serikalini hawana hata hizo titles za kwenye vyeti lakini wana performance za hali ya juu.

Kwa hiyo jambo la kijinga kufanywa na wajinga wengi hakuliondolei sifa ya ujinga.
 
Kuna watu serikalini hawana hata hizo titles za kwenye vyeti lakini wana performance za hali ya juu.

Kwa hiyo jambo la kijinga kufanywa na wajinga wengi hakuliondolei sifa ya ujinga.
Shida iliopo ni kupewa nafasi kwa kujuana, CPA (T) na ukuu wa mkoa wapi na wapi.
Sorry content manager asije akafuta my thread kutokana na kubadilishwa maudhui kwenye replies
NB: Tuko educational forum mkuu tujadili kihivyo tu
 
Back
Top Bottom