Mkuu hiyo gb3 kwa 3000 na dkk 30 ni kwa week?Halotel kwa sasa ndio mtandao wa bei nafuuu kuliko yote tz angalia hivi vifurushi vya net na dakika hizo za mitandao yote View attachment 1692459View attachment 1692460View attachment 1692461View attachment 1692462View attachment 1692463View attachment 1692464
Hata tigo app yao iko hivyo.Voda ukitaka unafuu wa dk tumia ile app ya Voda rahisi kununu na huna haja kuwa unauliza uliza salio ukifungua tu inakuonyesha masalio yako yote ni nzuri..
Ndiyo mkuu ni kwa wiki usisahau kuna dakika 30 mitandao yote kuna cha gb1 kwa 1000 ni kwa wiki pia pia kuna gb7 kwa 5000 kwa wili na elf10 kwa gb 13 vyote ni wiki 1Mkuu hiyo gb3 kwa 3000 na dkk 30 ni kwa week?
Apo voda napata GB 3 ila dakika ndo hamna kwa weekHivi vyote ni vya wiki 1View attachment 1692827
Fanya number porting kuitoa namba yako kutoka tigo kwenda mtandao mwingine bila kubadili namba
Tuna vifurushi mbalimbali kulingana na mahitaji ya mteja, jiunge Tam tam plus kwa kupiga *150*71#Hamjambo bila shaka.
Leo naingia nijiunge bundle la week nakuta vifurushi vimepunguzwa gb kwa 50℅
Gb 2 kwa week ambazo nilikuwa nazipata kwa 3000 now ni 5000 huku gb1 ndio 3000.
Napo hizo gb 2 nilikuwa natumia kwa kujibana sana. Aisee mbona sasa gharama za life zinazidi kwenda juu sana.
Embu niambieni ni mtandao gani kwa sasa ambao una unafuu kidogo.
Nyie TTCL hizi siku za karibuni mmepatwa na nini? Mtandao upo chini sana, tofauti kabisa na siku za nyuma.Tuna vifurushi mbalimbali kulingana na mahitaji ya mteja, jiunge Tam tam plus kwa kupiga *150*71#
Karibu sana