Niambieni ni mtandao gani wa gharama nafuu kwa sasa, hii ya tigo kwasasa ni zaidi ya ukibaka.

Troublemaker

JF-Expert Member
Jun 8, 2015
19,865
38,473
Hamjambo bila shaka.

Leo naingia nijiunge bundle la week nakuta vifurushi vimepunguzwa gb kwa 50℅
Gb 2 kwa week ambazo nilikuwa nazipata kwa 3000 now ni 5000 huku gb1 ndio 3000.
Napo hizo gb 2 nilikuwa natumia kwa kujibana sana. Aisee mbona sasa gharama za life zinazidi kwenda juu sana.
Embu niambieni ni mtandao gani kwa sasa ambao una unafuu kidogo.
 
Hamjambo bila shaka.

Leo naingia nijiunge bundle la week nakuta vifurushi vimepunguzwa gb kwa 50℅
Gb 2 kwa week ambazo nilikuwa nazipata kwa 3000 now ni 5000 huku gb1 ndio 3000.
Napo hizo gb 2 nilikuwa natumia kwa kujibana sana. Aisee mbona sasa gharama za life zinazidi kwenda juu sana.
Embu niambieni ni mtandao gani kwa sasa ambao una unafuu kidogo.
Ukiishaona hivyo basi jua muda si mrefu ma kampuni yote yatapandisha bei za vifurushi.
 
halotel wana unafuu aisee.njoo huku

Hamjambo bila shaka.

Leo naingia nijiunge bundle la week nakuta vifurushi vimepunguzwa gb kwa 50℅
Gb 2 kwa week ambazo nilikuwa nazipata kwa 3000 now ni 5000 huku gb1 ndio 3000.
Napo hizo gb 2 nilikuwa natumia kwa kujibana sana. Aisee mbona sasa gharama za life zinazidi kwenda juu sana.
Embu niambieni ni mtandao gani kwa sasa ambao una unafuu kidogo.el
 
Mkuu msaada katikati hili tafadhali
Kiufupi ni kwamba nenda katika ofisi za mtandao unaotaka kuhamishia namba yako then watakueleza utaratibu ulivyo na watakupa form ujaze ila unatakiwa usiwe na deni mtandao unaotoka na pia kama kuna pesa iliyopo kwenye mtandao wako wa zamani uitoe. Baada yahapo ni muda mfupi tu utaanza kutumia huduma za mtandao mpya zote kama wengine bila kuibadili namba yako.
Zoezi hili linaratibiwa chini ya usimamizi wa TCRA baina ya mitandao hii miwili unaotoka na unaokwenda.
 
Halotel kwa sasa ndio mtandao wa bei nafuuu kuliko yote tz angalia hivi vifurushi vya net na dakika hizo za mitandao yote
Screenshot_20210202-134717.jpg
Screenshot_20210202-135152.jpg
Screenshot_20210202-135120.jpg
Screenshot_20210202-135223.jpg
Screenshot_20210202-135245.jpg
Screenshot_20210202-135316.jpg
 
Kiufupi ni kwamba nenda katika ofisi za mtandao unaotaka kuhamishia namba yako then watakueleza utaratibu ulivyo na watakupa form ujaze ila unatakiwa usiwe na deni mtandao unaotoka na pia kama kuna pesa iliyopo kwenye mtandao wako wa zamani uitoe. Baada yahapo ni muda mfupi tu utaanza kutumia huduma za mtandao mpya zote kama wengine bila kuibadili namba yako.
Zoezi hili linaratibiwa chini ya usimamizi wa TCRA baina ya mitandao hii miwili unaotoka na unaokwenda.
duh kumbe mpaka uende ofisini tena
 
Back
Top Bottom