julius mahinya
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 1,152
- 384
Poleni na majukumu ya hapa na pale toka juma tatu hadi leo ambapo tunajiandaa na mapumziko ya siku mbili muhimu katika wiki!
Ndugu zangu hiki ni kitu cha kweli ila ni kwa mara ya kwanza kwangu kukutana nacho! wiki moja iliyo pita nimekuwa nikijaribu bahati yangu kwa mdada mmoja hivi anayeingia ofisini kwake kikazi toka juma tatu hadi juma mosi! saa mbili hadi saa kumi na moja, nimekuwa muda wa ziada namuibukia ofisini kwake na kusisitiza ombi langu lakini hakatai wala kukubali zaidi ya kusema nimekuelewa, alikua na kipete cha urembo nilijaribu kumuomba akanipa, chochote nachomfanyia anarespond postive.
Jana nikamuomba mchezo alilia nikiwa ofisini kwake mimi na yeye hadi nikaingiwa na hofu! nilipo jaribu kuuliza kulikoni kadai alikuwa anaongea na Mungu wake ! nikamhoji hadi machozi akatabasamu na kucheka huku anaona aibu, nikauliza vipi mpango wangu oh, mpaka nipate jibu kwa Mungu wangu ntakwambia! sasa wadau ehm niambieni huyu mdada mnamfkiria ni mtu wa namna gani katika makundi ya wadada? Je mnanishauri kuendelea au niachane naye?
Ndugu zangu hiki ni kitu cha kweli ila ni kwa mara ya kwanza kwangu kukutana nacho! wiki moja iliyo pita nimekuwa nikijaribu bahati yangu kwa mdada mmoja hivi anayeingia ofisini kwake kikazi toka juma tatu hadi juma mosi! saa mbili hadi saa kumi na moja, nimekuwa muda wa ziada namuibukia ofisini kwake na kusisitiza ombi langu lakini hakatai wala kukubali zaidi ya kusema nimekuelewa, alikua na kipete cha urembo nilijaribu kumuomba akanipa, chochote nachomfanyia anarespond postive.
Jana nikamuomba mchezo alilia nikiwa ofisini kwake mimi na yeye hadi nikaingiwa na hofu! nilipo jaribu kuuliza kulikoni kadai alikuwa anaongea na Mungu wake ! nikamhoji hadi machozi akatabasamu na kucheka huku anaona aibu, nikauliza vipi mpango wangu oh, mpaka nipate jibu kwa Mungu wangu ntakwambia! sasa wadau ehm niambieni huyu mdada mnamfkiria ni mtu wa namna gani katika makundi ya wadada? Je mnanishauri kuendelea au niachane naye?