Niachane naye au niendelee

Niachane naye au niendelee

Hizo ni dharau au?:shocked:

Jamani yamekuwa hayo? kusahau si ni kupoteza kumbukumbu! na kama mtu anapoteza kumbu kumbu si ni lazima mwili hauko sawa? sasa mimi kufanya hypothesis ndio kukudharau!
nisamehe kama kuna mahali nimekukosea pasipo kujua!
 
Huyo ana ndoa na jini sasa ni mpka likubali ndoa atakupa. Na si Mungu wetu wa mbinguni
 
Leo siongei sana kuwa huru maana najua kwa nini na napenda usiniogope si kila siku najiandaa kupambana na foolish zipo siku napokea wazo kama hilo lako pia dada mwenyewe ni msukuma kama wewe so sioni shida kukuacha na uhuru wa mawazo najua thread hiyo ya pili nilikuweka pande zipi!
pole sana usiogope be free!!!!!!!

tumblr_mbwr05LsSi1qahumuo1_500.jpg
 
Back
Top Bottom