WAKABAMBEE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 605
- 275
Ukizila wenzio wala
yani nawashangaa wote wawili........,
Mbona nimeshiba!
aiseee nimesahau hata niseme nini!!!
Hizo ni dharau au?:shocked:Vipi afya iko sawa? maana kusahau sahau si jambo la kawaida!
umewahi kuwa chizi? kama ujawahi base endelea kumfuatilia huyo binti, utapotea ghafla
aiseee nimesahau hata niseme nini!!!
Ha ha ha loh...No😎kwani ni wewe ulilia?
Hizo ni dharau au?:shocked:
Mkutanishe na prf J. Kapuya uone kama hatatoa mzigo
Huyo dada ana miwaya aka kapuya sasa anakuhurumia sana
afadhali sio wewe maana nilijua umeuvaa mkengeHa ha ha loh...No😎
afadhali sio wewe maana nilijua umeuvaa mkenge
love is blind dada yangu! usishangae hayo ndio mapenzi hata kama ni mzee wa mika 60 akisha fika hapo huwa mtoto!
Leo siongei sana kuwa huru maana najua kwa nini na napenda usiniogope si kila siku najiandaa kupambana na foolish zipo siku napokea wazo kama hilo lako pia dada mwenyewe ni msukuma kama wewe so sioni shida kukuacha na uhuru wa mawazo najua thread hiyo ya pili nilikuweka pande zipi!
pole sana usiogope be free!!!!!!!