Powel Mizengo
Senior Member
- Jan 20, 2014
- 126
- 24
subiri upewe mpunga
Tukutane Marangu park pale karibu na NMB,nikumwagie mashule kuhusu hao mabinti
kabila halina nafas sana kwenye tabia ya mtu nowdays
Habari za J2 wana JF!!!!!Nimesafiri nipo maeneo fulani hivi huku Ifakara .k.a Upogoroni!!!Nipo kikazi!!!!Kwa kweli wenyeji wangu wamenipokea vizuri sana!!!!!Ila naomba mnisaidie kwa yeyote anayejua kiundani tabia za kabila la huku ususani hawa mabinti,manake ntakuwapo huku for almost 2months!!!!Nadhani mpaka hapo wakuu mmeshanielewa nina maana gani!!!!Karibuni!!!!
Kuna mchele unaitwa 'mchopeko', ukipikwa mtaa wa pili wanaitikia kama lile tangazo la knorr sijui? Wakimpa huo harudi huyo!
subiri upewe mpunga
Umeenda kufanya kazi ama umeende kuwatafuta hao madada wa kipogoro!?