FAIDA KUU TATU ZA SIGARA AMINI USIAMINI
1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara nyumbani kwake haingii mwizi
UFAFANUZI
"""""""""""''"""
●. Hazeeki kwa sababu hufa mapema kwa kifua kikuu
●. Haumwi na mbwa kwa vile kifua na mapafu yanapooza na muda wote hulazimika kutembea na bakora mkononi
●. Nyumbani kwake haingii mwizi kwa kuwa inafika wakati ambapo halali. Atakohoa usiku kucha hivyo mwizi anajua yupo macho
kumbe kikohozi tu.
1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara nyumbani kwake haingii mwizi
UFAFANUZI
"""""""""""''"""
●. Hazeeki kwa sababu hufa mapema kwa kifua kikuu
●. Haumwi na mbwa kwa vile kifua na mapafu yanapooza na muda wote hulazimika kutembea na bakora mkononi
●. Nyumbani kwake haingii mwizi kwa kuwa inafika wakati ambapo halali. Atakohoa usiku kucha hivyo mwizi anajua yupo macho
kumbe kikohozi tu.