Ni yapi mazingira ya Serikali ya Mseto?

Ni yapi mazingira ya Serikali ya Mseto?

Wakuu Salaam:

Ni yapi mazingira ya Serikali ya Mseto?

Nimeuliza makusudi tu nataka niyajue!

Nimemaliza.
Mfumo wa Uchaguzi Tanzania ni kuwa anayepata kura nyingi ndiye mshindi. Hii inamaanisha kuwa Rais, Mbunge au Diwani atakayepata kura nyingi ndie atakayetangazwa mshindi, na ushindi katika uchaguzi ni by a simple majority, the winner takes it all, hata mkipishana kwa kura moja, hatuna serikali ya mseto.Kwa mujibu wa katiba yetu, na sheria yetu ya uchaguzi,
Katiba ya Zanzibar wao wana serikali ya mseto, lakini katiba hiyo haitambuliwi na katiba ya JMT.
Kwa mujibu wa katiba yetu, rais wa Zanzibar ni mjumbe wa cabinet yetu, na hatuna serikali ya mseto, hivyo kikatiba, rais wa Zanzibar lazima awe ni wa chama kimoja na bara!.

Ili kuwa na serikali ya mseto, lazima kuwe na idadi ya kura za urais na idadi ya viti vya ubunge ambayo lazima ifikiwe, usualy theluthi mbili.
Sasa isipotimia, ndipo chama ambacho hakijatimiza inabidi kuungana na chama kingine ili kutimiza idadi.
P
 
Wakuu Salaam:

Ni yapi mazingira ya Serikali ya Mseto?

Nimeuliza makusudi tu nataka niyajue!

Nimemaliza.
Vipi mnatafuta kukumbukwa au?

Hakuna MSETO hapa MSETO uacheni kwenye Malaria.

October 28th ni USHINDI wa KIHISTORIA kwa MAGUFULI.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Ni machafuko pekee baada ya CCM kushindwa, ndio yatakayosababisha uwepo wa hiyo Serikali ya mseto.
 
Mazingira hayo hayapo bayana Tanzania ila ikitokea wagombea urais wakafungana kura mfano 50%/50% inawezekana ikaundwa serikali ya mseto. Pia ikitokea Lissu akashinda 60% lakini akawa na wabunge wachache mno kama vile 90 tu kati ya wabunge 254 ni mazingira ya mseto.

Au ikitokea kura zimekaribiana mfano 52% kwa 48% na kukawa na utata mkubwa katika uhalisia wa matokeo kwa namna ya kutishia amani na mshikamano wa nchi, hayo nayo ni mazingira ya kuunda serikali ya mseto ili kuleta muafaka na amani. Pengine hili la mwisho ndilo linanyemelea.
Hakuna uwezekano wa kuna serikali inayomjumuisha Lissu. Ni kujifariji. Dkt Magufuli atashinda kwa zaidi ya 80%. Chadema wameanza kulilia serikali ya mseto. Mwambie haipo.
 
Back
Top Bottom