Ni wivu au kushindwa kujiamini?

Wivu ni aina fulani inayoonyesha Care kwa mpenzi wako lakini ikizidi ndiyo inakuwa na madhara Jaribu kutoonyehs hali ya wivu kwa mkeo uone naamini ipo siku atakuambia kuwa hunipendi kabisa.
 
Habari zenu wapendwa katika jina la bwana?
Nawapenda nyote, ila sijui kama nina wivu na nyie ama la!

Nimekuwa nikijiuliza mara kadhaa na kutambua kuwa kuna sababu nyingi zinazoweza kumpelekea mtu kuwa na wivu, ingawa pia hali hiyo haikwepeki kwa vile iko kwenye mfumo wa kihisia zaidi za kibinadamu.
Wakati mwingine ni vigumu kuthibitisha hisia za wivu hali hiyo inapotokea.
Kuna aina nyingi za wivu lakini hapa nazungumzia wivu katika mahusiano ya kimapenzi, wivu huu umegharimu sana maisha ya wapendanao. Wengine kuuana, kutalikiana n.k. Isitoshe bado wengi wanasema kuwa mapenzi bila wivu hayanogi!!!!

Je,ni kwanini basi uwe na wivu kwa mpenzio?
Je, mahusiano ya kimapenzi bila wivu yanawezekana?
je, hali hii tunaweza kuita ni wivu au kutojiamini?
bacha we una wivu?
 
mapenzi bila wivu yana walakini lazima utaona mwenzio hakupendi sema usizidi mipaka
 
aaaaa nooooo mi nimemuelewesha tuu kwa kutumia jina lake anifaham ni vipi wivu ukizidi... khaa kaka mbona wataka nichongea wewe mi sichukui mali za watu kama kina michelle..

Unalo bibi linalokukaba na roho,basi ungemuandika jina usoni kuwa huyu wangu???

Si riziki yako yule,kanipenda nimempokea kwa mikono miwili,na nimetulia nae

Bibi mi sichukui wa watu,nawaweka ndani kwangu ati,na najua hasa kuwaweka.......

We endelea na maisha yako,acha bifu mi huniwezi ati hujalisoma hilo?

ulisema wa nini mi mwenzio nilikuwa nasali nikipate kama kile....sasa ndo imekuwa......
 
naona kweli umechukuwa lakini used huyo bibi nshamchakaza we malizia makombo..hapo hukupata umepatikana.
Unalo bibi linalokukaba na roho,basi ungemuandika jina usoni kuwa huyu wangu???
:kev::kev::kev:
Si riziki yako yule,kanipenda nimempokea kwa mikono miwili,na nimetulia nae

Bibi mi sichukui wa watu,nawaweka ndani kwangu ati,na najua hasa kuwaweka.......

We endelea na maisha yako,acha bifu mi huniwezi ati hujalisoma hilo?

ulisema wa nini mi mwenzio nilikuwa nasali nikipate kama kile....sasa ndo imekuwa......
 
Bacha habari yako binafsi wangu??

Wivu muhimu sana kwenye mapenzi sema uwe na kiasi na usimyime yule anayeonewa wivu haki zake za msingi za kufurahia maisha......
 
naona umechukuwa lakini used huyo bibi nshamchakaza we malizia makombo...

Nimeridhika nae huyu huyu makombo wako.......

Allah si athuman,utampata brand new mama,mi yangu macho,masikio na pua ya kunusa....

Basi tusifuatane tena, niache ndo kwanza naona nuru,alikuwa wapi huyu Hashy??:A S-heart-2:
 
occasional jealous in "close relationship" is natural and help 2 keep a relationship alive.
 
Wivu ni muhimu jamani ktk malavidavi, kama mtu kweli unampenda na sio kumtamanintu kwanini usiwe na wivu naye?
 
Bacha habari yako binafsi wangu??

Wivu muhimu sana kwenye mapenzi sema uwe na kiasi na usimyime yule anayeonewa wivu haki zake za msingi za kufurahia maisha......

Mi sijambo Michelle,
Hivi wewe unamwonea wivu hashycool au,
ni kwasababu hujiamini tu?
 
wa kupitiliza ndio upi?
usiposikia wivu kwa mwenzio ujue penzi kwishney!


lakini Tausi,
ndo huu wivu ambao tumeambiwa kuwa umeshaleta madhara mengi,
mpaka kufikia kuuana, kujinyonga, kunywa sumu sasa iweje uwe na umuhimu?
 
Back
Top Bottom