Nimejifunza vingi lakini hili ni gumu kukubaliana nalo

Edson Carrington

JF-Expert Member
Oct 30, 2022
216
634
Habari wakuu,

Mapenzi ni moja ya nguzo muhimu sana ya maisha yetu ya kila siku, na haijalishi ni aina gani ya mapenzi mtu aliyonayo as long as mapenzi basi ni strong emotion inayoweza kumuongoza mtu kufanya jambo fulani. Haswa na zaidi ni mahusiano ya kimapenzi.

Yupo mtu mmoja aliyewahi kusema mapenzi yana nguvu zaidi ya lori lililobeba tani nyingi za mzigo. Ikimaanisha mapenzi yana nguvu ya kufanya vitu vingi duniani tofauti na ilivyo kawaida kwa binadamu. Takribani miaka 80 iliyopita wanafunzi wa Harvard university walikuja na conclusion kuwa mapenzi ni chanzo kikuu cha furaha ya mwanadamu na wala sio pesa, urembo, umaarufu nk.

Lakini Changamoto kuu na kubwa ya mapenzi haswa ya mtu na mtu ( me na ke ) ni moja tu, kwani ni WIVU. Always mapenzi huja na wivu. Na pia kiwango cha mapenzi kinavyoongezeka na pia kiwango cha wivu kinaongezeka.

Hakuna mapenzi ya kweli yasiyokuwa na wivu, na wala hakuna asiekuwa na wivu kwenye mapenzi pale atakapoona mambo yanaenda tofauti.
Bali tofauti kubwa ni reaction ya mtu fulani juu ya suala hilo.

Mapenzi yana thamani sana kama unavyoona pesa na mali nyingine mbalimbali. Ndio maana watu wapo tayari kutoa mpaka utajiri wao kwa wanaowapenda. Mtu anapokupa moyo wake hakuna tofauti na mwajiri anaempa mwajiriwa wake kampuni kubwa kwa ajili ya kuisimamia na kuiendesha. Na inapotokea umefanya usaliti kwa penzi la mtu ni sawa na kufanya usaliti kwenye mali ya kampuni hiyo. Huu ndo mfano hai wa dhamana ya mapenzi.

Kiukweli nimejifunza mengi kuhusiana na mapenzi kutoka kwa walionitangulia lakini kwa hili nimeshindwa kuwaelewa hata kidogo. Je, inakuaje uondoe wivu kwa yule unaempenda?,
Sawa wivu ni kidonda, lakini je nawezaje kuishi bila kuwa na wivu kwa yule niliemweka moyoni?!

Kiukweli sijawahi kupata suluhisho katika hili.
 
Habari wakuu,

Mapenzi ni moja ya nguzo muhimu sana ya maisha yetu ya kila siku, na haijalishi ni aina gani ya mapenzi mtu aliyonayo as long as mapenzi basi ni strong emotion inayoweza kumuongoza mtu kufanya jambo fulani. Haswa na zaidi ni mahusiano ya kimapenzi.

Yupo mtu mmoja aliyewahi kusema mapenzi yana nguvu zaidi ya lori lililobeba tani nyingi za mzigo. Ikimaanisha mapenzi yana nguvu ya kufanya vitu vingi duniani tofauti na ilivyo kawaida kwa binadamu. Takribani miaka 80 iliyopita wanafunzi wa Harvard university walikuja na conclusion kuwa mapenzi ni chanzo kikuu cha furaha ya mwanadamu na wala sio pesa, urembo, umaarufu nk.

Lakini Changamoto kuu na kubwa ya mapenzi haswa ya mtu na mtu ( me na ke ) ni moja tu, kwani ni WIVU. Always mapenzi huja na wivu. Na pia kiwango cha mapenzi kinavyoongezeka na pia kiwango cha wivu kinaongezeka.

Hakuna mapenzi ya kweli yasiyokuwa na wivu, na wala hakuna asiekuwa na wivu kwenye mapenzi pale atakapoona mambo yanaenda tofauti.
Bali tofauti kubwa ni reaction ya mtu fulani juu ya suala hilo.

Mapenzi yana thamani sana kama unavyoona pesa na mali nyingine mbalimbali. Ndio maana watu wapo tayari kutoa mpaka utajiri wao kwa wanaowapenda. Mtu anapokupa moyo wake ni sawa hakuna tofauti na mwajiri anaempa mwajiriwa wake kampuni kubwa kwa ajili ya kuisimamia na kuiendesha. Na inapotokea umefanya usaliti kwa penzi la mtu ni sawa na kufanya usaliti kwenye mali ya kampuni hiyo. Huu ndo mfano hai wa dhamana ya mapenzi.

Kiukweli nimejifunza mengi kuhusiana na mapenzi kutoka kwa walionitangulia lakini kwa hili nimeshindwa kuwaelewa hata kidogo. Je, inakuaje uondoe wivu kwa yule unaempenda?,
Sawa wivu ni kidonda, lakini je nawezaje kuishi bila kuwa na wivu kwa yule niliemweka moyoni?!

Kiukweli sijawahi kupata suluhisho katika hili.
Ukiwa na emotional intelegence, ya kutosha napenzi sio lolote au chochote, mapenzi hutesa vijana limbukeni washamba na wenye elimu duni,.........kutawala hisia zako ni kipimo cha akili za mwanaume yoyote usikubali hisia zikutawale uta jiua au kuumia bure........mimi nishindwe kusimamia kazi zangu kisa pisi kali ya miaka 23 eti nimekosa usingizi kisa mwanamke huyu huyu mmakonde thubutu, "Never ever allow any thing to control your life style"
 
Habari wakuu,

Mapenzi ni moja ya nguzo muhimu sana ya maisha yetu ya kila siku, na haijalishi ni aina gani ya mapenzi mtu aliyonayo as long as mapenzi basi ni strong emotion inayoweza kumuongoza mtu kufanya jambo fulani. Haswa na zaidi ni mahusiano ya kimapenzi.

Yupo mtu mmoja aliyewahi kusema mapenzi yana nguvu zaidi ya lori lililobeba tani nyingi za mzigo. Ikimaanisha mapenzi yana nguvu ya kufanya vitu vingi duniani tofauti na ilivyo kawaida kwa binadamu. Takribani miaka 80 iliyopita wanafunzi wa Harvard university walikuja na conclusion kuwa mapenzi ni chanzo kikuu cha furaha ya mwanadamu na wala sio pesa, urembo, umaarufu nk.

Lakini Changamoto kuu na kubwa ya mapenzi haswa ya mtu na mtu ( me na ke ) ni moja tu, kwani ni WIVU. Always mapenzi huja na wivu. Na pia kiwango cha mapenzi kinavyoongezeka na pia kiwango cha wivu kinaongezeka.

Hakuna mapenzi ya kweli yasiyokuwa na wivu, na wala hakuna asiekuwa na wivu kwenye mapenzi pale atakapoona mambo yanaenda tofauti.
Bali tofauti kubwa ni reaction ya mtu fulani juu ya suala hilo.

Mapenzi yana thamani sana kama unavyoona pesa na mali nyingine mbalimbali. Ndio maana watu wapo tayari kutoa mpaka utajiri wao kwa wanaowapenda. Mtu anapokupa moyo wake ni sawa hakuna tofauti na mwajiri anaempa mwajiriwa wake kampuni kubwa kwa ajili ya kuisimamia na kuiendesha. Na inapotokea umefanya usaliti kwa penzi la mtu ni sawa na kufanya usaliti kwenye mali ya kampuni hiyo. Huu ndo mfano hai wa dhamana ya mapenzi.

Kiukweli nimejifunza mengi kuhusiana na mapenzi kutoka kwa walionitangulia lakini kwa hili nimeshindwa kuwaelewa hata kidogo. Je, inakuaje uondoe wivu kwa yule unaempenda?,
Sawa wivu ni kidonda, lakini je nawezaje kuishi bila kuwa na wivu kwa yule niliemweka moyoni?!

Kiukweli sijawahi kupata suluhisho katika hili.
katika mahusianao ya kimapenzi ukiwa na hekima nauelewa mzuri juu ya mahusiano yenyewe,
basi hutakua driven na vichocheo vya mwili bali upendo wa kweli na wa dhati,

wivu, tamaa, usaliti n.k ni matokeo ya uelewa mdogo na kukosekana hekima baina ya wapendanao.
 
Ukiwa na emotional intelegence, ya kutosha napenzi sio lolote au chochote, mapenzi hutesa vijana limbukeni washamba na wenye elimu duni,.........kutawala hisia zako ni kipimo cha akili za mwanaume yoyote usikubali hisia zikutawale uta jiua au kuumia bure........mimi nishindwe kusimamia kazi zangu kisa pisi kali ya miaka 23 eti nimekosa usingizi kisa mwanamke huyu huyu mmakonde thubutu, "Never ever allow any thing to control your life style"
Shauri. Nini afanye
 
Habari wakuu,

Mapenzi ni moja ya nguzo muhimu sana ya maisha yetu ya kila siku, na haijalishi ni aina gani ya mapenzi mtu aliyonayo as long as mapenzi basi ni strong emotion inayoweza kumuongoza mtu kufanya jambo fulani. Haswa na zaidi ni mahusiano ya kimapenzi.

Yupo mtu mmoja aliyewahi kusema mapenzi yana nguvu zaidi ya lori lililobeba tani nyingi za mzigo. Ikimaanisha mapenzi yana nguvu ya kufanya vitu vingi duniani tofauti na ilivyo kawaida kwa binadamu. Takribani miaka 80 iliyopita wanafunzi wa Harvard university walikuja na conclusion kuwa mapenzi ni chanzo kikuu cha furaha ya mwanadamu na wala sio pesa, urembo, umaarufu nk.

Lakini Changamoto kuu na kubwa ya mapenzi haswa ya mtu na mtu ( me na ke ) ni moja tu, kwani ni WIVU. Always mapenzi huja na wivu. Na pia kiwango cha mapenzi kinavyoongezeka na pia kiwango cha wivu kinaongezeka.

Hakuna mapenzi ya kweli yasiyokuwa na wivu, na wala hakuna asiekuwa na wivu kwenye mapenzi pale atakapoona mambo yanaenda tofauti.
Bali tofauti kubwa ni reaction ya mtu fulani juu ya suala hilo.

Mapenzi yana thamani sana kama unavyoona pesa na mali nyingine mbalimbali. Ndio maana watu wapo tayari kutoa mpaka utajiri wao kwa wanaowapenda. Mtu anapokupa moyo wake ni sawa hakuna tofauti na mwajiri anaempa mwajiriwa wake kampuni kubwa kwa ajili ya kuisimamia na kuiendesha. Na inapotokea umefanya usaliti kwa penzi la mtu ni sawa na kufanya usaliti kwenye mali ya kampuni hiyo. Huu ndo mfano hai wa dhamana ya mapenzi.

Kiukweli nimejifunza mengi kuhusiana na mapenzi kutoka kwa walionitangulia lakini kwa hili nimeshindwa kuwaelewa hata kidogo. Je, inakuaje uondoe wivu kwa yule unaempenda?,
Sawa wivu ni kidonda, lakini je nawezaje kuishi bila kuwa na wivu kwa yule niliemweka moyoni?!

Kiukweli sijawahi kupata suluhisho katika hili.
Nawambia siku zote upendo kiti chake cha kukalia ni wivu upendo hukaa sehemu ya wivu tu Kwa kadri upendo unavoongezeka ndo wivu unavoongezeka ila kiti kikivunjika ambacho ni wivu na upendo unadondoka hakuna upendo tena penzi penzini liko kwenye wivu wivuni
 
Habari wakuu,

Mapenzi ni moja ya nguzo muhimu sana ya maisha yetu ya kila siku, na haijalishi ni aina gani ya mapenzi mtu aliyonayo as long as mapenzi basi ni strong emotion inayoweza kumuongoza mtu kufanya jambo fulani. Haswa na zaidi ni mahusiano ya kimapenzi.

Yupo mtu mmoja aliyewahi kusema mapenzi yana nguvu zaidi ya lori lililobeba tani nyingi za mzigo. Ikimaanisha mapenzi yana nguvu ya kufanya vitu vingi duniani tofauti na ilivyo kawaida kwa binadamu. Takribani miaka 80 iliyopita wanafunzi wa Harvard university walikuja na conclusion kuwa mapenzi ni chanzo kikuu cha furaha ya mwanadamu na wala sio pesa, urembo, umaarufu nk.

Lakini Changamoto kuu na kubwa ya mapenzi haswa ya mtu na mtu ( me na ke ) ni moja tu, kwani ni WIVU. Always mapenzi huja na wivu. Na pia kiwango cha mapenzi kinavyoongezeka na pia kiwango cha wivu kinaongezeka.

Hakuna mapenzi ya kweli yasiyokuwa na wivu, na wala hakuna asiekuwa na wivu kwenye mapenzi pale atakapoona mambo yanaenda tofauti.
Bali tofauti kubwa ni reaction ya mtu fulani juu ya suala hilo.

Mapenzi yana thamani sana kama unavyoona pesa na mali nyingine mbalimbali. Ndio maana watu wapo tayari kutoa mpaka utajiri wao kwa wanaowapenda. Mtu anapokupa moyo wake hakuna tofauti na mwajiri anaempa mwajiriwa wake kampuni kubwa kwa ajili ya kuisimamia na kuiendesha. Na inapotokea umefanya usaliti kwa penzi la mtu ni sawa na kufanya usaliti kwenye mali ya kampuni hiyo. Huu ndo mfano hai wa dhamana ya mapenzi.

Kiukweli nimejifunza mengi kuhusiana na mapenzi kutoka kwa walionitangulia lakini kwa hili nimeshindwa kuwaelewa hata kidogo. Je, inakuaje uondoe wivu kwa yule unaempenda?,
Sawa wivu ni kidonda, lakini je nawezaje kuishi bila kuwa na wivu kwa yule niliemweka moyoni?!

Kiukweli sijawahi kupata suluhisho katika hili.
Do replacement. Toa hiyo weka mwingine... ukitaka kuyakomoa mapenzi eti uishi mwenyewe kisa yeye hataki utasababisham na mwemyekiti dronedrake tuje kula biriyani. Mbona madem kibao mkuu... kwa kuanzia anzia mitaa savsinza pale usiku.. mwezi TU ushasahau kila kitu

Cc. Ushimen
Bcc. amadala
 
Kwanza asiendeshwe na hisia za mapenzi akili ndo zitawale mapenzi yake
It's impractical as well. How to make this possible.. watu hawawez hizooooo mwambie nn aanze nacho ili iwe step ya kufika stej hiyo mkuu
 
Habari wakuu,

Mapenzi ni moja ya nguzo muhimu sana ya maisha yetu ya kila siku, na haijalishi ni aina gani ya mapenzi mtu aliyonayo as long as mapenzi basi ni strong emotion inayoweza kumuongoza mtu kufanya jambo fulani. Haswa na zaidi ni mahusiano ya kimapenzi.

Yupo mtu mmoja aliyewahi kusema mapenzi yana nguvu zaidi ya lori lililobeba tani nyingi za mzigo. Ikimaanisha mapenzi yana nguvu ya kufanya vitu vingi duniani tofauti na ilivyo kawaida kwa binadamu. Takribani miaka 80 iliyopita wanafunzi wa Harvard university walikuja na conclusion kuwa mapenzi ni chanzo kikuu cha furaha ya mwanadamu na wala sio pesa, urembo, umaarufu nk.

Lakini Changamoto kuu na kubwa ya mapenzi haswa ya mtu na mtu ( me na ke ) ni moja tu, kwani ni WIVU. Always mapenzi huja na wivu. Na pia kiwango cha mapenzi kinavyoongezeka na pia kiwango cha wivu kinaongezeka.

Hakuna mapenzi ya kweli yasiyokuwa na wivu, na wala hakuna asiekuwa na wivu kwenye mapenzi pale atakapoona mambo yanaenda tofauti.
Bali tofauti kubwa ni reaction ya mtu fulani juu ya suala hilo.

Mapenzi yana thamani sana kama unavyoona pesa na mali nyingine mbalimbali. Ndio maana watu wapo tayari kutoa mpaka utajiri wao kwa wanaowapenda. Mtu anapokupa moyo wake hakuna tofauti na mwajiri anaempa mwajiriwa wake kampuni kubwa kwa ajili ya kuisimamia na kuiendesha. Na inapotokea umefanya usaliti kwa penzi la mtu ni sawa na kufanya usaliti kwenye mali ya kampuni hiyo. Huu ndo mfano hai wa dhamana ya mapenzi.

Kiukweli nimejifunza mengi kuhusiana na mapenzi kutoka kwa walionitangulia lakini kwa hili nimeshindwa kuwaelewa hata kidogo. Je, inakuaje uondoe wivu kwa yule unaempenda?,
Sawa wivu ni kidonda, lakini je nawezaje kuishi bila kuwa na wivu kwa yule niliemweka moyoni?!

Kiukweli sijawahi kupata suluhisho katika hili.
Mimi nitazaa watoto tu huko mitaan,
Alafu nikifikisha miaka 65+ kama nitakua hai bas nitafunga ndoa, ili tumalizie miaka michache iliyo bakia.

. Kuutesa moyo kwa sababu ya mapenzi ni dalili moja wapo ya ujinga.
 
Back
Top Bottom