bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
- Thread starter
- #61
Unalo bibi linalokukaba na roho,basi ungemuandika jina usoni kuwa huyu wangu???
Si riziki yako yule,kanipenda nimempokea kwa mikono miwili,na nimetulia nae
Bibi mi sichukui wa watu,nawaweka ndani kwangu ati,na najua hasa kuwaweka.......
We endelea na maisha yako,acha bifu mi huniwezi ati hujalisoma hilo?
ulisema wa nini mi mwenzio nilikuwa nasali nikipate kama kile....sasa ndo imekuwa......
................wivu at work!!lol.....