Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,783
- 95,577
Kumbe eeeHii mke atatafunwa huko
Kumbe eeeHii mke atatafunwa huko
Mh mbona hauna kosa kama ndo hivi japo nahisi kuna kingine hujasemaKosa langu siku anafika hata hajakaa home kaondoka sijui kaenda wapi. Nami nikaenda zangu kupiga maji jioni narudi nimwite nimuulize kulikoni unafika hata hujatulia tupeane habari za safari wewe unaondoka mke kakimbia baada ya kusikia harufu ya pombe alihisi labda nitampiga. Mi nikafunga milango nikalala na watoto. Hiki ndo chanzo cha yeye kuniachia chumba
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Alilala wapi?huyo nae ana vijambo na vimamboKosa langu siku anafika hata hajakaa home kaondoka sijui kaenda wapi. Nami nikaenda zangu kupiga maji jioni narudi nimwite nimuulize kulikoni unafika hata hujatulia tupeane habari za safari wewe unaondoka mke kakimbia baada ya kusikia harufu ya pombe alihisi labda nitampiga. Mi nikafunga milango nikalala na watoto. Hiki ndo chanzo cha yeye kuniachia chumba
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Unamfungia mkeo nje?!Kosa langu siku anafika hata hajakaa home kaondoka sijui kaenda wapi. Nami nikaenda zangu kupiga maji jioni narudi nimwite nimuulize kulikoni unafika hata hujatulia tupeane habari za safari wewe unaondoka mke kakimbia baada ya kusikia harufu ya pombe alihisi labda nitampiga. Mi nikafunga milango nikalala na watoto. Hiki ndo chanzo cha yeye kuniachia chumba
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23]Ili nalo mkalitizame
Fact[emoji23][emoji23] yaan kuna mda nikiona mtu anaoa ama kuolewa ni kama namuonea huruma ivi daah! sema nin ndoa ni changamoto san ila pia ndoa ni tamu san ikiwa utaish na mwanamke kwa akili
Huyo hakutaki anatafuta GIA ya kuondokeaKama mada inavyojieleza
Yapata wiki sasa nimesusiwa chumba nalala peke angu na nimenuniwa kabisa na mke wangu.
Ni hivi naishi na mke mbalimbali yani mikoa tofauti. Alikuja hapa maskani ila kuna kamgogoro kadogo kalitokea asubuhi yake nikagundua kosa langu nikamwomba samahani mke wangu lakini kilichotokea ni yeye kuhama chumba analala na watoto na ameninunia
Anaongea na wapangaji wangu eti ili yaishe niwapigie simu wazazi wake niwaombe samahani. Sasa najiuliza tugombane sie samahani nimwombe mamake katu siwezi kufanya huo ujinga
Kila unapotokea mkwaruzano mke anawahi kusema tuachane bora aishi msimbe na kuwa mdangaji
Sasa naona awamu hii kaamua kweli awe msimbe na mdangaji. Nimejaribu kutafuta suluhu naona mwenzangu kaamua kukaza
Basi nami nimeona niendelee na mishe zangu sibembelezi tena.
Ndoa zinachangamoto sana hasa ukiwa na mke mbishi mjuaji asietaka kukubali yaishe.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Pale Saint Kanumba anapooana na wa Academic school Kila kitu ngoja nitamuambia Dady.Kama mada inavyojieleza
Yapata wiki sasa nimesusiwa chumba nalala peke angu na nimenuniwa kabisa na mke wangu.
Ni hivi naishi na mke mbalimbali yani mikoa tofauti. Alikuja hapa maskani ila kuna kamgogoro kadogo kalitokea asubuhi yake nikagundua kosa langu nikamwomba samahani mke wangu lakini kilichotokea ni yeye kuhama chumba analala na watoto na ameninunia
Anaongea na wapangaji wangu eti ili yaishe niwapigie simu wazazi wake niwaombe samahani. Sasa najiuliza tugombane sie samahani nimwombe mamake katu siwezi kufanya huo ujinga
Kila unapotokea mkwaruzano mke anawahi kusema tuachane bora aishi msimbe na kuwa mdangaji
Sasa naona awamu hii kaamua kweli awe msimbe na mdangaji. Nimejaribu kutafuta suluhu naona mwenzangu kaamua kukaza
Basi nami nimeona niendelee na mishe zangu sibembelezi tena.
Ndoa zinachangamoto sana hasa ukiwa na mke mbishi mjuaji asietaka kukubali yaishe.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Ili nalo mkalitizame
Duuh mnagombana na mke lkn anatangaza nje?Kama mada inavyojieleza
Yapata wiki sasa nimesusiwa chumba nalala peke angu na nimenuniwa kabisa na mke wangu.
Ni hivi naishi na mke mbalimbali yani mikoa tofauti. Alikuja hapa maskani ila kuna kamgogoro kadogo kalitokea asubuhi yake nikagundua kosa langu nikamwomba samahani mke wangu lakini kilichotokea ni yeye kuhama chumba analala na watoto na ameninunia
Anaongea na wapangaji wangu eti ili yaishe niwapigie simu wazazi wake niwaombe samahani. Sasa najiuliza tugombane sie samahani nimwombe mamake katu siwezi kufanya huo ujinga
Kila unapotokea mkwaruzano mke anawahi kusema tuachane bora aishi msimbe na kuwa mdangaji
Sasa naona awamu hii kaamua kweli awe msimbe na mdangaji. Nimejaribu kutafuta suluhu naona mwenzangu kaamua kukaza
Basi nami nimeona niendelee na mishe zangu sibembelezi tena.
Ndoa zinachangamoto sana hasa ukiwa na mke mbishi mjuaji asietaka kukubali yaishe.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app