Ni wiki sasa nimesusiwa chumba nimenuniwa

Ni wiki sasa nimesusiwa chumba nimenuniwa

Azoge Ze Blind Baga

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2019
Posts
455
Reaction score
1,730
Kama mada inavyojieleza

Yapata wiki sasa nimesusiwa chumba nalala peke angu na nimenuniwa kabisa na mke wangu.

Ni hivi naishi na mke mbalimbali yani mikoa tofauti. Alikuja hapa maskani ila kuna kamgogoro kadogo kalitokea asubuhi yake nikagundua kosa langu nikamwomba samahani mke wangu lakini kilichotokea ni yeye kuhama chumba analala na watoto na ameninunia

Anaongea na wapangaji wangu eti ili yaishe niwapigie simu wazazi wake niwaombe samahani. Sasa najiuliza tugombane sie samahani nimwombe mamake katu siwezi kufanya huo ujinga

Kila unapotokea mkwaruzano mke anawahi kusema tuachane bora aishi msimbe na kuwa mdangaji

Sasa naona awamu hii kaamua kweli awe msimbe na mdangaji. Nimejaribu kutafuta suluhu naona mwenzangu kaamua kukaza

Basi nami nimeona niendelee na mishe zangu sibembelezi tena.

Ndoa zinachangamoto sana hasa ukiwa na mke mbishi mjuaji asietaka kukubali yaishe.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Kama mada inavyojieleza

Yapata wiki sasa nimesusiwa chumba nalala peke angu na nimenuniwa kabisa na mke wangu.

Ni hivi naishi na mke mbalimbali yani mikoa tofauti. Alikuja hapa maskani ila kuna kamgogoro kadogo kalitokea asubuhi yake nikagundua kosa langu nikamwomba samahani mke wangu lakini kilichotokea ni yeye kuhama chumba analala na watoto na ameninunia

Anaongea na wapangaji wangu eti ili yaishe niwapigie simu wazazi wake niwaombe samahani. Sasa najiuliza tugombane sie samahani nimwombe mamake katu siwezi kufanya huo ujinga

Kila unapotokea mkwaruzano mke anawahi kusema tuachane bora aishi msimbe na kuwa mdangaji

Sasa naona awamu hii kaamua kweli awe msimbe na mdangaji. Nimejaribu kutafuta suluhu naona mwenzangu kaamua kukaza

Basi nami nimeona niendelee na mishe zangu sibembelezi tena.

Ndoa zinachangamoto sana hasa ukiwa na mke mbishi mjuaji asietaka kukubali yaishe.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Kama hataki suluhu endelea na kazi zako usijichoshe na pia hakuna kuomba msamaha kwa wazazi wake

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Hilo nalo litapita endelea na mishe zako atasalenda cku akijua matokeo ya sensa
 
Kosa lako hujaliweka wazi, boss!
Kosa langu siku anafika hata hajakaa home kaondoka sijui kaenda wapi. Nami nikaenda zangu kupiga maji jioni narudi nimwite nimuulize kulikoni unafika hata hujatulia tupeane habari za safari wewe unaondoka mke kakimbia baada ya kusikia harufu ya pombe alihisi labda nitampiga. Mi nikafunga milango nikalala na watoto. Hiki ndo chanzo cha yeye kuniachia chumba

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Duuh pole mkuu nachotaka kukwambia kama amekataa msamaha ina maana huyo kuna jambo kalipanga usimuombe msamaha mama yake ukiona haelekei chukua ustaarabu wako yangu ni hayo tu.
 
Kama mada inavyojieleza

Yapata wiki sasa nimesusiwa chumba nalala peke angu na nimenuniwa kabisa na mke wangu.

Ni hivi naishi na mke mbalimbali yani mikoa tofauti. Alikuja hapa maskani ila kuna kamgogoro kadogo kalitokea asubuhi yake nikagundua kosa langu nikamwomba samahani mke wangu lakini kilichotokea ni yeye kuhama chumba analala na watoto na ameninunia

Anaongea na wapangaji wangu eti ili yaishe niwapigie simu wazazi wake niwaombe samahani. Sasa najiuliza tugombane sie samahani nimwombe mamake katu siwezi kufanya huo ujinga

Kila unapotokea mkwaruzano mke anawahi kusema tuachane bora aishi msimbe na kuwa mdangaji

Sasa naona awamu hii kaamua kweli awe msimbe na mdangaji. Nimejaribu kutafuta suluhu naona mwenzangu kaamua kukaza

Basi nami nimeona niendelee na mishe zangu sibembelezi tena.

Ndoa zinachangamoto sana hasa ukiwa na mke mbishi mjuaji asietaka kukubali yaishe.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Dawa ya KE ni KE mwenzie
 
[emoji23][emoji23] yaan kuna mda nikiona mtu anaoa ama kuolewa ni kama namuonea huruma ivi daah! sema nin ndoa ni changamoto san ila pia ndoa ni tamu san ikiwa utaish na mwanamke kwa akili
Wahusika wakikosa akili na pesa ndipo shida zinaanzia hapo
 
Kosa langu siku anafika hata hajakaa home kaondoka sijui kaenda wapi. Nami nikaenda zangu kupiga maji jioni narudi nimwite nimuulize kulikoni unafika hata hujatulia tupeane habari za safari wewe unaondoka mke kakimbia baada ya kusikia harufu ya pombe alihisi labda nitampiga. Mi nikafunga milango nikalala na watoto. Hiki ndo chanzo cha yeye kuniachia chumba

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Yaani wewe ni bonge la bwege sasa hapo kosa lako ni nini ?
hao watoto inawezekana sio wako kapime dna
yaani wewe ni bwege kiwango cha sgr
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom