Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,547
- 28,494
Kwa mtaji wa matukio ya vifo vilivyotokea, utekaji wa wananchi na mambo mengine yasiyo ya kistaarabu, CCM imekuwa kimya na haina ubavu wa kukemea hayo.
Uchaguzi wenye mashaka nao hakuna mwana CCM anaweza kuweka kifua mbele kuwa ameshinda.
Hapa inaelekea ni serikali ilikuwa inajipigia debe, inateka na kuzima wamanchi.
CCM kwa sasa si chama chenye ushawishi unaoeleweka.
NB
Kuna yule wa CCM/Serikali Faris Burhan, kule Kagera, aliyesema tukimkamata mtu anayetusi viongozi Polisi msimtafute- kwa maana watampoteza.
Hilo lilikuwa tamko la CCM/Serikali na yaliyotokea tumeyaona.
View: https://www.youtube.com/watch?v=7-SSHMK94U0
Uchaguzi wenye mashaka nao hakuna mwana CCM anaweza kuweka kifua mbele kuwa ameshinda.
Hapa inaelekea ni serikali ilikuwa inajipigia debe, inateka na kuzima wamanchi.
CCM kwa sasa si chama chenye ushawishi unaoeleweka.
NB
Kuna yule wa CCM/Serikali Faris Burhan, kule Kagera, aliyesema tukimkamata mtu anayetusi viongozi Polisi msimtafute- kwa maana watampoteza.
Hilo lilikuwa tamko la CCM/Serikali na yaliyotokea tumeyaona.
View: https://www.youtube.com/watch?v=7-SSHMK94U0