Nimeona majarida mengi na mashirika mengi ya utafiti yakitoa takwimu za watu wenye IQ kubwa duniani.
Hivyo basi inaonyesha kipimo maalum cha IQ kipo.
Naomba kujuzwa hiki kipimo nitakipata wapi ili nijue IQ yangu?
Mkuu usipate shida! Kama unaelewa kidhungu ingia link ya chini hapo ujaribiwe!
kwa mwongozo tu, ukifika humo, kwanza utakutana na maswali matatu ya kuanzia kujaribiwa, wewe unatakiwa kukiliki buttons tu, either true or false! Then unakiliki finish. Baada ya hapo unapewa majibu ya ulichojibu then kama unataka testi yenyewe unaendelea, utakuta sehemu wameandika 'Are you ready to take a real thing now? click here'
Humo utakuta maswali mengi tu, utajibu kwa 'true' or 'false' then unaclick What's my IQ? unapewa majibu ya IQ yako!
Usisahau kutupa mrejesho wa majibu ya IQ yako!
Kila la heri.
IQTest.com
Kwa wale wenzangu tusio na njuluku na tutest iq zetu kupitia hapa!
Free IQ Test - Fast, Free and Accurate Online IQ Test
Sina hamu
Wewe unaonyesha hata IQ yenyewe huna. Afadhali yangu ndogo naweza kuiwekea external IQ.
Hahahahaaa! Mkiu ulizama na kuambiwa una IQ ya 0.5 nini!!!?
Yap! Ni kweli! Na jee ulijaribu kuzama kwa link ya post ya chini hapo?Tatizo hii site wanakulipisha ndo wakutumie results
Kwa wale wenzangu tusio na njuluku na tutest iq zetu kupitia hapa!
Free IQ Test - Fast, Free and Accurate Online IQ Test
Jipime hapo kwanza:Nimeona majarida mengi na mashirika mengi ya utafiti yakitoa takwimu za watu wenye IQ kubwa duniani.
Hivyo basi inaonyesha kipimo maalum cha IQ kipo.
Naomba kujuzwa hiki kipimo nitakipata wapi ili nijue IQ yangu?
Nimeona majarida mengi na mashirika mengi ya utafiti yakitoa takwimu za watu wenye IQ kubwa duniani.
Hivyo basi inaonyesha kipimo maalum cha IQ kipo.
Naomba kujuzwa hiki kipimo nitakipata wapi ili nijue IQ yangu?
Wewe unaonyesha hata IQ yenyewe huna. Afadhali yangu ndogo naweza kuiwekea external IQ.
Sina hamu
Siku zote Matendo yako na yakutokayo mdomoni ndiyo IQ yako.
Mkuu usipate shida! Kama unaelewa kidhungu ingia link ya chini hapo ujaribiwe!
kwa mwongozo tu, ukifika humo, kwanza utakutana na maswali matatu ya kuanzia kujaribiwa, wewe unatakiwa kukiliki buttons tu, either true or false! Then unakiliki finish. Baada ya hapo unapewa majibu ya ulichojibu then kama unataka testi yenyewe unaendelea, utakuta sehemu wameandika 'Are you ready to take a real thing now? click here'
Humo utakuta maswali mengi tu, utajibu kwa 'true' or 'false' then unaclick What's my IQ? unapewa majibu ya IQ yako!
Usisahau kutupa mrejesho wa majibu ya IQ yako!
Kila la heri.
IQTest.com