Rahma Nyusi
Member
- Jun 3, 2015
- 73
- 9
Habarini wa kuu,
Mimi nipo Dar es salaam nataka kwenda ofisi ya mkuu wa mkoa Tabora.Sasa naomba msaada wenu wakuu kwa wanaojua
1. Kutoka Dar es salaam hadi Tabora inachukua muda gani kwa usafiri wa basi?
2. Ofisi ya mkuu wa mkoa Tabora ipo umbali gani kutoka stend kuu ya mabasi Tabora?
3. Kwa ujumla hali ya hewa Tabora ipo vipi na maanisha kuna baridi au nihali ya joto ili niweze kubeba coat.
MSAADA WENU
Mimi nipo Dar es salaam nataka kwenda ofisi ya mkuu wa mkoa Tabora.Sasa naomba msaada wenu wakuu kwa wanaojua
1. Kutoka Dar es salaam hadi Tabora inachukua muda gani kwa usafiri wa basi?
2. Ofisi ya mkuu wa mkoa Tabora ipo umbali gani kutoka stend kuu ya mabasi Tabora?
3. Kwa ujumla hali ya hewa Tabora ipo vipi na maanisha kuna baridi au nihali ya joto ili niweze kubeba coat.
MSAADA WENU