Ni wapi ilipo ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora?

Ni wapi ilipo ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora?

Baridi la Tabora ni lile la kupasua midomo na miguu. Unapauka ile mbaya! Linapuliza kama kipupwe. Acha kabisa! Hii ni kuanzia mwezi wa 4 mpaka wa 11.

Ile hali hewa ni kiboko unapasuka usoni hatari, hivi dawa yake ni nini?
 
Ukifika kanifikishie salam zangu kwa mama Mwita pale boys .
 
Tuombe radhi watu wa pwani kwa kutupa sifa sio yetu sisi sifa yetu ukarimu na ndomana wanyamwezi na wasukuma tunawapokea mafia na tunawapa nyumba waishi bure kwa muda wote wanapofanya shughuli zao za kulimia minazi.

Kwa hiyo unataka kusema hiyo minazi walitoka nayo Tabora? Si kweli.....Mmewafanya vibarua wa kulimia minazi yenu. Kwa hiyo huo ukarimu wa kuwapa nyumba hau count kama ni ukarimu wa kawaida bali ni kwa kuwa wanawalimia minazi yenu!!!!
Wewe ndio wa kuniomba radhi mimi. Upo?
 
Back
Top Bottom