Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kariakoo shule ya viziwi karibu na Benjamin Mkapa sekondari fika hapo utasaidika
Sahihi kabisa nadhani na Lushoto pia sehemu inaitwa Irente!
!
Hats university of Dar Es Salaam Department of foreign language and linguistics wanatoa kozi ya Sign language and Translation. Piano kipo chuo Tanga cha Ualimu wa makundi maalum
SORRY MKUU,HIKI KITABU NAWEZA KUKIPATA WAPSafi sana wachangiaji kwa kutoa msaada kwa hitaji la mleta uzi.
Mimi mwenyewe huwa napenda sana kujifunza sign za upande wetu huu wa pili.
Mimi huwa najifua kidogo kwa kupitiapitia kitabu cha Apple is My sign by Mary Riskind. (Hard copy)
Nimeweka Matumaini ipo siku nitiifahamu lugha hii ya wenzetu.
Kwakweli siwezi kukupa jibu kamili,niliwahi kukitafuta kwa internet softcopy yake nilifeli kukipata,mimi hiki nilichonacho nilipewa na Rafiki yangu.SORRY MKUU,HIKI KITABU NAWEZA KUKIPATA WAP
Lushoto kuna Sebastian kolowa memorial university nadhani ndio mwisho wa yote..Sahihi kabisa nadhani na Lushoto pia sehemu inaitwa Irente
Benjamin Mkapa pia viziwi wanasoma elimu ya sekondari pale. Ila sidhani kama wanafundisha watu lugha ya ishara kwenye hizo shule.Kariakoo shule ya viziwi karibu na Benjamin Mkapa sekondari fika hapo utasaidika
ofisi za Chavita zi wapi MkuuBenjamin Mkapa pia viziwi wanasoma elimu ya sekondari pale. Ila sidhani kama wanafundisha watu lugha ya ishara kwenye hizo shule.
Mleta mada kwavile ameulizia kwa hapa DSM tu, basi sehemu nzuri ni CHAVITA makao makuu, pale wana walimu na wakalimani wa hiyo lugha.
Mkuu unaweza nisaidia hicho kitabuSafi sana wachangiaji kwa kutoa msaada kwa hitaji la mleta uzi.
Mimi mwenyewe huwa napenda sana kujifunza sign za upande wetu huu wa pili.
Mimi huwa najifua kidogo kwa kupitiapitia kitabu cha Apple is My sign by Mary Riskind. (Hard copy)
Nimeweka Matumaini ipo siku nitiifahamu lugha hii ya wenzetu.
Mkuu una mawasiliano yaoBenjamin Mkapa pia viziwi wanasoma elimu ya sekondari pale. Ila sidhani kama wanafundisha watu lugha ya ishara kwenye hizo shule.
Mleta mada kwavile ameulizia kwa hapa DSM tu, basi sehemu nzuri ni CHAVITA makao makuu, pale wana walimu na wakalimani wa hiyo lugha.