Ni wakati wa wabunge kuwa mfano katika kilimo kwanza

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Napenda kuwasilisha maoni yangu kwa wabunge Wote hasa wa CCM sababu sera ya kilimo kwanza ni ya CCM. Katika majimbo yenye ardhi za kilimo
  • Tunataka tusikie idaidi ya wabunge waliokopa matretka
  • Tunataka tusikie wakati wa msimu wa kuuza pamba, mahindi etc kahawa wabunge wana Kg japo chache za kuuza
  • Tunataka kuona wabunge wanakuwa mfano na mashamba au vijishamb vya mfano
  • Tuntaka kuona wabunge wanawekeza majimboni mwao badala ya kuwekeza dar-es-salaaam
Tunajuwa wanaweza kuwa busy lakini ni vizuri CCM iwashinikze wabunge wao waonyeshe Kilimo kwanza kwa mfano. wengine watafuata.

Ni wakatai wa kuhubiri siasa na kuuuuiishi siasa tunayo hubiri. Otheriwise uti wa mgongo utazidi kupinda

Nawasilisha kwa mjadala.
 
Back
Top Bottom