Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Kwa hali ilivyo sasa nathubutu kutoa ushauri duniani kote ii tuwe na utaratibu wa kama nchi ina raslimali lukuki km tz iweze kukopa viongozi wa ngazi za juu ili watusaidie kuendesha nchi, kubuni miradi,mikakati nba dira ya taifa.............naamini kiongozi ambaye tz ingeweza kumkopa kwa mfano kutoka CHINA basi angeweza kusimamia rasilimali za nchi bila woga wowote kwani angejua tumemwajiri na tunamlipa pesa za kutosha......Naamini kwa spirit ya mchina huu wizi wa wazi kabisa unaofanbywa na kiwete na wshirika wake basi ungekoma fasta....mfano mtu km Rostamu angekuwa alishapigwa risasi zamani tena hadharani kwa kuwa mbadhirifu wa mali a umma na kuiendesha serikali ya kikwetre kwa rimotkwa mfano hili lingewezekana basi baada tu ya ile miaka miwili ya kikwete tungekuwa tumeshakopa viongozi toka ng'ambo km rais, w/mkuu, mwanasheria isipokuwa tungebakiwa na spika sitta mzalendo basi...Mbona wakoloni pamoja na kutunyonya lakini walitujengea viwanda, barabara za kudumu muda mrefu, reli huduma za jamii za kuaminika,na mambo mengine mengi?
NI KAMA HADITHI ZA KUSADIKIKA LAKINI HILI JMBO NATAFUTA PA KULISEMEA ILI DUNIA IWEZE KUTOA MAONI KUHUSU UWEZEKANO HUU
NI KAMA HADITHI ZA KUSADIKIKA LAKINI HILI JMBO NATAFUTA PA KULISEMEA ILI DUNIA IWEZE KUTOA MAONI KUHUSU UWEZEKANO HUU