Ni wakati muafaka Mashehe kuwajibu Nchi wa Hisani

Ni wakati muafaka Mashehe kuwajibu Nchi wa Hisani

jiwe angavu

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2015
Posts
21,689
Reaction score
41,849
Baada ya matamko ya nchi wahisahi kuhusiana na matukio ya liyotokea kabla na baada ya uchaguzi(feki) uliofanyika Tanzania.

Kama ilivyo ada mashehe wetu wasiwasite kutoka na kuitetea Serikali kama wa fanyavyo dhidi ya Matamko ya TEC.

Kwa kutoa matamko makali dhidi ya hawa mabeberu wanayoiandama Serikali.

Bila kusahau ile statement yao pendwa ya kuwakata v**chwa hao wahisani wasiyoipenda amani ya Tanzania na kuleta chokochoko.

Mungu ibariki Tanganyika.
 
🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿🙌🏿
capsule_616x353.jpg
 
Baada ya matamko ya nchi wahisahi kuhusiana na matukio ya liyotokea kabla na baada ya uchaguzi(feki) uliofanyika Tanzania.

Kama ilivyo ada mashehe wetu wasiwasite kutoka na kuitetea Serikali kama wa fanyavyo dhidi ya Matamko ya TEC.

Kwa kutoa matamko makali dhidi ya hawa mabeberu wanayoiandama Serikali.

Bila kusahau ile statement yao pendwa ya kuwakata v**chwa hao wahisani wasiyoipenda amani ya Tanzania na kuleta chokochoko.

Mungu ibariki Tanganyika.
Au wawakate vichwa Wazungu wanampinga Samuya kisa dini yake.
 
Baada ya matamko ya nchi wahisahi kuhusiana na matukio ya liyotokea kabla na baada ya uchaguzi(feki) uliofanyika Tanzania.

Kama ilivyo ada mashehe wetu wasiwasite kutoka na kuitetea Serikali kama wa fanyavyo dhidi ya Matamko ya TEC.

Kwa kutoa matamko makali dhidi ya hawa mabeberu wanayoiandama Serikali.

Bila kusahau ile statement yao pendwa ya kuwakata v**chwa hao wahisani wasiyoipenda amani ya Tanzania na kuleta chokochoko.

Mungu ibariki Tanganyika.
Shuleless hao mashehe ubwabwa wataweza kweli kujibu? Huyo mkata vichwa elimu ya ngumbaru anaweza kujua hata umoja wa ulaya ni nini?
 
Mashekhe watakwambia wahisani watumwa na Kitima au Katoliki, watakwambia kwanini wahisani wanamlenga Samia na sio Nchimbi?Watakwambia nyuma wa wahisani kutakuwa na Nchimbi ndiye kawatuma kumwaribia Samia, mwisho wa siku watasema tutapita misikiti yote nchi nzima mkimwona mzungu yoyote yani yoyote kateni kichwa,
 
Wale WAJINGA Wana kinyongo na katoliki Kwa muda mrefu Sana Yale ambao tumeona ni hasira iliyojaa kwenye mioyo Yao Kwa muda mrefu.
Kwa miaka mingi walikosa sehemu ya kutolea nyongo.....ukiangalia Yale matamko utagundua kuwa hawa jamaa kuna Siri Fulani ya chuki IPO kwenye taasisi zao
 
Back
Top Bottom