Ni vizuri viongozi wa Tanzania (na viongozi wa Afrika) wakayajua Majina haya Matakatifu ya kwenye Biblia: Adonai YAHWEH na Adonai Yahushua Masiha. Labda hii itawasaidia wawe viongozi bora.
Ni vizuri pia watambue majira na nyakati za Kibiblia.
In Daniel 8:13 - 14, Palmoni (The Wonderful Numberer) anamfafanulia Nabii Daniel kuhusu siri za baadhi ya majira na nyakati za kibiblia.
Palmoni (The Wonderful Numberer) ni moja wapo ya titles za Adonai Yahushua Masiha.
Huenda Afrika na Tanzania zina majira na nyakati zake.
Viongozi wakiyajua haya, huenda itawasaidia wawe viongozi bora.
Wananchi wakiyajua haya, huenda itawasaidia wawe wananchi bora.
Ni vizuri pia watambue majira na nyakati za Kibiblia.
In Daniel 8:13 - 14, Palmoni (The Wonderful Numberer) anamfafanulia Nabii Daniel kuhusu siri za baadhi ya majira na nyakati za kibiblia.
Palmoni (The Wonderful Numberer) ni moja wapo ya titles za Adonai Yahushua Masiha.
Huenda Afrika na Tanzania zina majira na nyakati zake.
Viongozi wakiyajua haya, huenda itawasaidia wawe viongozi bora.
Wananchi wakiyajua haya, huenda itawasaidia wawe wananchi bora.