Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,952
- 10,037
kuna mfano mbaya sana "ashakum si matusi" ... baba akiamua kujisaidia haja ndogo wkenye kona ya ukuta wa nyuma yake, ni chini ya mamlaka yake, lakini kamwe ile haiwezi kuwa sahihi... Rage asihalalishe kila mamlaka iliyo chini ya rais basi ni halal na yafaa kuliwa
Kinachosikitisha zaidi ni sisi watanzania, huyo jamaa ni convict, alifungwa kwa kosa la kisheria, sasa ni mwenyekiti wa wazazi tabora, mwenyekiti wa Simba, mbunge, anaendesha radio na anabwabwaja hovyo.............. THIS IS TOO SICK TO OUR NATION
HE SHOULD BE BARRED AS A CONVICT
Mkuu heshima kwako.Nadhani alichoaema Rage ni sahihi. Rais ameteua kwa mujibu wa katiba iliyopo sasa. Hapa tatizo si Rage wala Rais tatizo ni Katiba ambayo tunatakiwa tuijadili na kuiunda upya na madaraka kama ya kuteua watu kama hao yaondolewe kwa Rais. Iwe kama Kenya ambapo nafasi kama hizo zilitangazwa na watu kuomba na kuhojiwa hadharani. Ila sasa tatizo wanalolipata wakenya ni kwamb mchakato na nafasi zilichukuliwa na wanaharakati!
Mkuu Rage alitakaswa na mahakama kuu hivyo conviction yake ilifutwa.