Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora jini ulijualo sivyo?Pamoja na
Pamoja na yote hayo, bado Magufuli anastahili kuwa Rais kwa miaka mingi ijayo. Chama cha Mbowe, hakina viongozi mule magarasa matupu.
Atakaposhinda ndiyo utaijua habari yakoMzee kafeli mipango mingi sana, chuki zake na dharau zimemponza sana
Kusafiri kwa ndege ni fahari sana, hata ikiwa ni fast jet, sio lazima iwe ya shirika la nchi yako. Inaonekana ni experience yako ya kwanza.Nimemaliza kufanya booking na air tanzania, jioni nipo Dar, fahari sana kusafiri na ndege ya shirika la ndege la nchi yako! Mkuu karibu soko la dhahabu uone vijana wadogo wanavyokamata fedha na hapo ndio utajua kuishi kwa kutegemea madili na wizi kuna life span fupi sna!
Wapo wengi sana+wafanyakazi wenye machungu ya kutoongezwa mishahara, wanafunzi waliokosa mikopo na wengineo ambao riba imeongezwa kihuni na serikali dhalimu inayoongozwa na dikteta john, wakulima wa pamba na korosho waliodhulumiwa haki zao, ndugu jamaa na marafiki wa familia ambazo watu wake walitekwa, kuuawa, kusingiziwa kesi kwa baraka za john, watanzania wasio na chama ambao ni wapenzi wa kuona haki na usawa vinatendeka, watanzania ambao wamebaguliwa kwa kipindi cha miaka5 kwa itikadi zao za vyama, nk, john hapati hata 7% ya kura, maana hata ccm nao wamemchoka, wanasubiri nani atamfunga paka kengeleMko wangapi?
Sawa dingiAtakaposhinda ndiyo utaijua habari yako
Mwanetu pamoja na mumeo kuwa mlevi na anakupiga sana bado ni mumeo, baba watoto wako, anakulisha na kukutunza, rudi nyumbani. Hayo ni maneno ya watu wasio na akili timamu.Pamoja na
Pamoja na yote hayo, bado Magufuli anastahili kuwa Rais kwa miaka mingi ijayo. Chama cha Mbowe, hakina viongozi mule magarasa matupu.